Search results

  1. Boqin

    UZUSHI Mwanaume mmoja aokolewa kutoka kwenye kifusi miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi nchini Uturuki

    Picha moja iliyosambaa mtandaoni – ikiwemo hapa JamiiForums – inamuonesha mwanaume mmoja akiwa katika hali mbaya ya kiafya. Maelezo katika picha hiyo yameandikwa kwa lugha ya Kiarabu yakieleza: “Kutoka tetemeko la ardhi la Februari 6, leo ametolewa chini ya vifusi huko Antakya, Uturuki hai na...
  2. Boqin

    UZUSHI Elon Musk alidhamiria kutorejesha akaunti ya Twitter ya Donald Trump kwa kuwa anamchukia

    UVUMI Hivi karibuni baada ya Elon Musk kuununua mtandao wa Twitter kuliibuka uvumi kwamba bilionea huyo amepanga kurejesha akaunti zote za Twitter zilizofungiwa, kasoro ile ya aliyekuwa Rais wa Marekani kuanzia mwaka 2017 hadi 2021, Donald Trump. Kichwa cha habari cha taarifa hiyo kinasomeka...
  3. Boqin

    UZUSHI Rais Samia kumpongeza Martha Karua kama Mgombea Mwenza wa kiti cha Urais Kenya

    UVUMI Raila Odinga, kiongozi wa chama cha upinzani cha Orange Democratic Movement cha Kenya na aliyekuwa mgombea urais katika uchaguzi wa Agosti 2022 nchini humo, alimtaja waziri wa zamani wa sheria Martha Karua kuwa mgombea mwenza wake tarehe 16 Mei. Mara baada ya tangazo hilo, picha...
  4. Boqin

    UZUSHI Muigizaji Jackie Chan kuvaa fulana yenye picha ya Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa Rais Museveni

    MADAI Picha ya mwigizaji na mtayarishaji filamu maarufu wa nchini China Jackie Chan akiwa amevalia fulana iliyochapishwa picha ya Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa rais wa Uganda Yoweri Museveni, imekuwa ikisambaa katika mitandao ya kijamii. Maandishi chini ya picha yanasomeka kwa Kiingereza: "Rais...
  5. Boqin

    UZUSHI Tangazo la fursa za masomo nchini Norway 2022/2023

    MADAI Tovuti moja inadai kutangaza nafasi za ufadhili wa masomo katika chuo kikuu nchini Norway na kusambaa katika mitandao ya kijamii. Tovuti hiyo ina ujumbe wa Kiingereza ulioandikwa vibaya unaotafsirika: "Kasome Nchini Norway Kozi Yoyote Uliyochagua Bila Malipo kwa Muda wote wa programu"...
  6. Boqin

    UZUSHI Picha ya Rais Samia ukurasa wa mbele wa gazeti la The Scotsman la Scotland

    MADAI/UVUMI Ukurasa wa mbele wa Gazeti la The Scotsman la Scotland umekuwa ukisambaa mitandaoni ukiwa na kichwa kinachosema "Rais Samia aongeza matumaini mapya kwa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Scotland na Tanzania," Gazeti hilo linalosomeka kuwa ni toleo la 1 Novemba 2021 la gazeti la...
  7. Boqin

    UZUSHI William Ruto awachochea Wakalenjin dhidi ya Wakikuyu

    MADAI/UVUMI Video moja iliyowekwa kwenye mtandao wa Facebook inadai kuwa Naibu Rais wa Kenya William Ruto "ameichochea" jamii yake ya Wakalenjin dhidi ya Wakikuyu wakati wa mkutano wa kampeni kabla ya uchaguzi wa Agosti 9 2022. Katika kipande hicho cha video kilichochapishwa tarehe 29 Julai...
  8. Boqin

    UZUSHI TWAWEZA yaahirisha uzinduzi wa matokeo ya utafiti mpya wa Sauti za Wananchi

    MADAI/UVUMI Kufuatia kutangazwa kwa tukio la uzinduzi wa takwimu za shirika lisilo la kiserikali la TWAWEZA East Africa linalotarajiwa kufanyika leo tarehe 25 Agosti, 2022, kumekuwepo madai/uvumi kuwa tukio hilo limeahirishwa. Taarifa hizo ambazo zimekuwa zikisambazwa katika makundi sogozi ya...
Back
Top Bottom