Search results

  1. M

    Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

    Muongo, apigwe ban Wiki iliyopita nilikwenda huko na sikuona, nilikuwa huko Dolly Estate Hakuna....jamaa anaota
  2. M

    Serikali yapiga Marufuku kuuza viwanja vya ukubwa wa 20 kwa 20

    Namuunga mkono Waziri Waziri ni mtekeleza sera, na kuwa na vision. Waziri amejua tatizo la slums linatokana na Nini! Hivyo ni juu ya watendaji wa Wizara kutekeleza vision. Kuna mtu ameuliza je masikini wataweza? Majibu ni kuwa wataweza! Halmashauri na manispaa mara nyingi Huwa na akiba ya...
  3. M

    Thadei Ole Mushi: Tukimaliza royal tour tujikite kutatua matatizo yetu ya ndani kwenye utalii

    Tour Operator akikata leseni, example June, ikifika Dec ime expiree Hata akikata October, ikifika Dec ime expiree
  4. M

    Waziri wa Utalii, una kazi kubwa sana

    Ilani ya CCM ni kuwa na watalii 5 Mil by 2025 Hata wapike data namna Gani, hawatafika hiyo namba. Muda ni huu, wa kufanya maamuzi magumu, na kutenda... Tayari Rais ameonyesha njia, ! Inatakiwa Waziri wa Utalii, akutane na wadau wa Utalii, Tour Operator, na TANAPA, halafu kuwe na uamuzi...
  5. M

    Vita ya Ukraine na Russia inaathiri Tanzania bara tu?

    Hakuna kitu, ni wizi tu wa EWURA Yule mbunge alisema kuna kikundi Cha watu Serikalini, na Wizara ya Nishati, Tpdc , EWURA...wanapiga Dili Mafuta yameshuka Bei, Russia anauza mafuta Bei rahisi mno... Na kununua mafuta Russia huwezi kuwekewa vikwazo, maana hata Ulaya wananunua gesi huko...
  6. M

    Tunaomba Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu afafanue hizi pesa zimefanya nini?

    Ha haa, Thoba roo yangu Acha wewe!
  7. M

    Tunaomba Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu afafanue hizi pesa zimefanya nini?

    Kweli kabisa, Serikali inayo matumizi ya anasa.... Badala Serikali kubana matumizi, Serikali inakamua wananchi...mara Tozo, mara Kodi, mara Mafuta... Kila Lita Moja ya mafuta, Serikali unachukua Shs 800 . Kwa Nini Serikali isitoe hapo Shs 200 tu Kwa Lita? Halafu ikapunguza Posho za maafisa...
  8. M

    Tanzania tuna akiba gani nyingine ya kutusaidia tukipatwa na majanga Zaidi ya akiba ya chakula na akiba ya fedha za kigeni?

    Vita ya uchumi, ni kwenye Chakula na mafuta. Serikali ifufue TIPER, ni kiwanda Cha refinery ya crude oil. Tena TIPER ifufuliwe haraka mno, tununue crude oil, na kusafisha wenyewe, na kuweka akiba . Kila Kanda iwe na Reserve...IRINGA/Mbeya, Mwanza, Tanga, na Mtwara. EWURA ni waongo Wanasema...
  9. M

    Tunaomba Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu afafanue hizi pesa zimefanya nini?

    Tatizo la Serikali ya Tanzania ni matumizi makubwa, ya Anasaa Kama Vita ya Ukraine ina athiri uchumi, Kwa Nini Serikali isibane matumizi, kupunguza Posho, kupunguza matumizi ya V 8
  10. M

    Shahbaz Sharif, Waziri Mkuu mpya Pakistan

    Imran Khan amesahau historia, wakati Pakistan unapigana na India, USA na UK walimsaidia Pakistan. Russia walimsaidia India Unaona India amesimama na Russia...Yes
  11. M

    Ole wao Wabunge wa aina hii

    Hili ni jukwaa, hivyo ukiandika upotoshaji...ukosolewe Unaandika kitu kujustify wizi, na madili ya kupandisha Bei stock... everybody knows your intention Upotoshaji
  12. M

    Ole wao Wabunge wa aina hii

    Hiyo shule inamsaidia nani? Unapoteza muda kuandika bla bla
  13. M

    Kushusha tozo za sukari kuna matokeo gani kwenye mfumuko wa bei

    Waziri wa Fedha, anakazania tu miradi miradi, anakwepa Ukubwa wa Serikali, na Posho zao, anasa zao na V 8 zao. Serikali ipunguze matumizi ya anasa Miradi inaendeshwa Kwa mikopo Mmeweka Tozo, za Kijenge barabara, hospital..na mkakopa tena
  14. M

    Ole wao Wabunge wa aina hii

    Sasa umeandika Nini hapa? Hii ni bla bla tu ...Sihitaji kuelewa bla bla Lete solution , proposal ya kupunguza Bei ya mafuta Ukileta hesabu zako Zina Faida gani Kwa jamii?
  15. M

    Mawaziri kuwekwa kitimoto na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    Waliopo BOT ni watoto wa vigogo, wanakula na kusaza.... Mawaziri, wamevimbiwa.....hamuna kitu... wanafikiria mbio za urais
  16. M

    Mafuta na gesi ya Russia yaendelea kwenda kwa wingi India, China na nchi za EU. Hizo za ulaya wanayanunua kwa rubles

    Kwa Nini Tanzania isinunuwe hayo mafuta rahisi ya Russia? Au tununue kupitia rafiki yetu CHINA, AU urafiki wetu na China ni WA kuiba kura?
  17. M

    Ole wao Wabunge wa aina hii

    This is nonsense Hii sio hoja ya kupunguza Bei ya mafuta Watu wanaongea suluhisho, wewe unaleta ubishi Kwa hesabu za Form 4 failure
  18. M

    Ole wao Wabunge wa aina hii

    Siwezi kujibu Non sense Mimi mzalendo naongea suluhisho la Bei ya mafuta....Sasa wewe unaongea nini? Poor, puwa .puwaaa mind
  19. M

    Ole wao Wabunge wa aina hii

    Mimi ni Serikali ndio nikujibu hoja? Hoja ipi ya maana unayo? Hoja yako inapunguza Bei ya mafuta! Unaongea nonsense
  20. M

    Luhaga Mpina kudaiwa kudhulumu ardhi ya Kijiji ekari 1000 Morogoro, Wizara ya Ardhi iingilie kati

    Wakifumuana ndio nafuu Kwa Watanzania, tujue madhambi ya watawala...Bila kujali ni lini wamefurumua...KATIBA MPYA ni muhimu Yaani wanakalia ardhi kubwa, akina Mkapa, Mwinyi, Sumaye...mpina, na wengine...kisa wanayo vijisenti walivyokula rushwaa! Badala ya kulima Alizeti na Karanga, mafuta...
Top Bottom