Search results

  1. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Asante kwa ushauri mkuu. Sijapuuza utaalamu, kuweka humu ni hatua ya kupanua mawazo Kwanza kabla kuendelea na hatua za kitaalamu. Unapokutana na mtalamu huku na wewe una walau abc, una nafasi nzuri ya kumfanya achangamke tofauti na ukiwa tiara tu.
  2. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Ooooh sawa mkuu, nashukuru.
  3. N

    Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

    Mnapojadili msichanganye connection na Rushwa. Connection inaweza kuwepo bila Rushwa. Unapozungumzia connection unapaswa kufahamu ilikuwepo, ipo na itakuwepo milele na milele. Vitabu vyotee vya dini tunazoamini connection zimo za kutosha. Wapo wanafunzi wa Yesu walipata mchongo huo kwa...
  4. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Nimekuelewa mkuu, bt siko kwenye presha kubwa ya kujenga kwa haraka so nitamudu tu ndgu.
  5. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Hapo jirani na chumba cha wageni pamoja na vyumba vya watoto.
  6. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Dah! Mimi huwa si muumini wa kuuliza mambo ya estimated cost huwa naona ni kupoteza muda, muhmu ni kuanza na ulichonacho tu. Nikimaliza ndo ntawaeleza wengine nimetumia sh ngapi....hahaaa
  7. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Shukrani Sana mkuu, mawazo yako ni mazuri nimeyapokea.
  8. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Shukran mkuu.
  9. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Shukrani mkuu, kuhusu mzunguko wa hewa sebleni hapo vipi? Maana hakuna dirisha la uhakika, unashauri vp?
  10. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Nimekuelewa mkuu, shukrani Sana niliwaza Sana kuhusu hewa sebleni ila wazo lako huenda likawa suluhisho
  11. N

    Maboresho kwa ramani hii

    Ndugu wadau wa jukwaa, naomba ushauri ikiwa upo kwa kuiboresha ramani hii ambayo nimeipenda nahitaji kuanza ujenzi wake mdogomdogo. Karibuni.... Inaonekana pia ramani ina option kwamba unaweza fanya nyuma pakawa mbele na mbele pawe nyuma ipi itakuwa ni busara zaidi? Pia naomba kufahamishwa...
  12. N

    Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

    Huyo katoa ndogo, itakuwa haina madalali hiyo moja kwa moja anaichukua mkubwa zile za madalali ni ndefu mara tatu ya hapo.
  13. N

    Injinia Hers na Kugombea urais wa Yanga.

    Zimekuwepo taarifa kutoka kwa mashabiki na wanachama wa club ya Yanga wakishawishi na kutaka sana ndugu Hers agombee urais wa Yanga. Nafikiria hivi hawaoni mgongano mkubwa wa kimaslahi iwapo kweli Injinia Hersi akiamua Kugombea na akawa Rais!!? Kvp!!? Hers ni sehemu ya wafadhili wa sasa wa...
  14. N

    Naomba ushauri juu ya ajira za Jeshi la Magereza

    Ndugu omba hizo nafasi za jeshi utakuja kunikumbuka mchango wangu. Nilikutana na nafasi kama yako, nilipata nafasi ya kujiunga chuo pamoja na nafasi ya kwenda jeshi la polisi. Nilichagua kwenda chuo baadhi walienda course ya polisi. Hivi sasa toka nimemaliza chuo Nina miaka saba jobles...
  15. N

    Jamani fuatilieni Halmashauri mbalimbali, sasa zinamwaga ajira

    Watakakotoa za utendaji wa kata tujulishane plz
  16. N

    Hizi ajira za TAMISEMI zinatoka baada ya muda gani?

    Kumbukumbu ya mwaka Jana walitumia wiki tatu, mwaka huu sijui wenye kujua watatwambia kila mwaka huja na utaratibu wake.
  17. N

    Ajira za utendaji wa kata

    Sawa mkuu
  18. N

    Ajira za utendaji wa kata

    Oooh shukrani mkuu. Nilizani anazotangaza mkurugenzi ni zile za watendaji wa mitaa/vijiji kumbe hata za kata!
  19. N

    Ajira za utendaji wa kata

    Leo asubuhi katika kusikiliza vyombo vya habari nimesikia taarifa ya kibali cha ajira ikiwemo za utendaji kimetolewa. Naomba kufahamu kwa wenye kufahamu hizi ajira hutolewa kwa mfumo upi na hutumia mchakato gani?
  20. N

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Kwenye kuchagua mkoa napata machaguo vizuri ila kuanzia wilaya, halmashauri, jimbo, n.k machaguo hayaji na nikiandika kwa kawaida hayakai. Vipi shida ni nini hapo? Nifanyeje kuendelea??
Top Bottom