Search results

  1. KUN

    Nakukumbuka John G. Kama niliacha kinyongo moyoni mwako nisamehe

    Dah, ushapigwa sana na ushachoka unatafuta pa kujiegesha.
  2. KUN

    Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

    Wiki kesho nitakuwa dodoma Muzine sitakuangusha.
  3. KUN

    Raha, Tamu na chungu ya VPN

    Play store iko down Mkuu
  4. KUN

    Raha, Tamu na chungu ya VPN

    Mkuu tunaomba updates kama hizi. Hatuna access na tweeter.
  5. KUN

    Uvamizi Hatari wa Kimtandao Duniani: Tishio la Usalama wa Taifa Tuchukue Hatua Haraka

    Hiyo aya ya kwanza kama vile nimeielewa
  6. KUN

    Ni Celebrity yupi unaetamani kutoka nae?

    Enika, yupo wapi siku hizi huyu mrembo?
  7. KUN

    Serikali yapiga marufuku shule binafsi kufanya mitihani ya kuchuja wanafunzi

    Nakumbuka mwanzoni mwa mwaka huu Serikali iliunda tume ili kuja na harmonized school fees kwa shule za binafsi, imefikia wapi?
  8. KUN

    Kuna mama ananitaka kwa udi na uvumba nifanyeje?

    Kwanini bahati km hizi huwa hatuzipati?
  9. KUN

    Paul Makonda aagiza kusitishwa utolewaji zabuni kwa kampuni 4 za ujenzi

    Kwani Kwani katangaza kuifuta?
  10. KUN

    Paul Makonda aagiza kusitishwa utolewaji zabuni kwa kampuni 4 za ujenzi

    Kabla ya kujadili chochote, kumbukeni Makonda ni " Client" Kwenye kazi za "selective" ni rahisi kuwalima hao wakandarasi na ndio ilikuwa njia pekee ya wao kupata kazi!
  11. KUN

    Paul Makonda aagiza kusitishwa utolewaji zabuni kwa kampuni 4 za ujenzi

    Kuna claim gani hapa? Unachokiongea hukijui! Tulia
  12. KUN

    Nimetumbuliwa jipu jamani,sijapata mshahara

    Mishahara bado haijatoka, acha kupotosha!
  13. KUN

    Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

    Azam hamna kitu kabisa wakuu, wamenikera sana kukata channel za ndani pale kifurushi kinapoisha! Wanabakiza tbc 1 tu! Nimerudi Startimes
  14. KUN

    Wino wa kuhakikisha mtu aliyepiga kura unakausha na kupasua vidole

    Me mwanangu analia kila siku anataka naye apake rangi kwenye kidole chake km mimi Baba yake nilivopaka!
  15. KUN

    Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

    Duh, unaweza kuwa sio mzima wew!
  16. KUN

    Uzuri wa kuoa single mothers na wadada over 35 years

    Hivi "wife material" ndo mke wa namna gani?
Top Bottom