Search results

  1. Mtafiti1

    Wanawake tusaidieni kutupa majibu ya hili swala

    Kaanza nani mchezo mchafu? Siku zote mlikua mnadhani wanawake wajinga na mtaendelea kuwatenda.WANAWAKE WAMECHOKA KUBEBA MZIGO MZITO WA NDOA.. Sasa mnaambiwa ukweli unauma? Kawakanye wanaume wenzio ili mchezo mchafu uishe.Vinginevyo kweli kizazi kitapotea maana wanawake wamechoka.
  2. Mtafiti1

    Asha Mkwizu Hauli-Na kesi ya kumuua hawara wa mumewe

    Mtambuzi; Hongera kwa kutuletea kesi kama hizi - utadhani murder za smoking gun! Ila tusisome tu kama hadithi.Tujaribu kuibua mafundisho humo ndani na nitaanza kama ifuatavyo: MTM kasema adui wa mwanamke ni mwanamke. Nakubali kabisa. Wanawake wenye kuchukua waume za watu kwa nyodo nadhani...
  3. Mtafiti1

    Malima akubali...

    Asanteni kwa kunisikiliza.
  4. Mtafiti1

    Malima akubali...

    Akubali kuwa kakosea yaishe. Kukosea ni kawaida ya binadamu na ndio kujifunza. Kwani mtu mzima akikosea si inaeleweka? Sasa mlitakaje jamani? Mtu mzima yeyote awaye yule anaweza kuona " mtu mzima mwenziye kaumbuka". Hebu tujifanye tumeshaelewa na tumsamehe. Vyovyote ilivyokuwa, ukweli anaujua...
  5. Mtafiti1

    Rushwa na uraia wa Siyoi, CCM watafutana uchawi badala ya kujibu HOJA

    Mkimchunguza sana kuku hamwezi kumla. Wako wengi wenye "uraia-tata" tena hata pale msipotarajia. Siyo bahati mbaya hii.
  6. Mtafiti1

    Mgomo wa madaktari - Updates

    Tena ongezea kwamba "ufagio wa kale unajua kila kona ya nyumba kuliko ufagio mpya".Madaktari wa Tz WANAJUA KU IMPROVISE...asifanye mchezo!
  7. Mtafiti1

    Mgomo wa madaktari - Updates

    Kuna mtu kazaliwa na "uwaziri"? kwani wakiondoka/ondolewa itakuwaje? wanang'ang;ania nini? Kwanini watendaji wakuu wakasimamishwa mara moja ikiwa mawaziri wanatetewa? Kwanini Pinda hakuwatetea watendaji wale? Huoni basi hapo kuna kasoro kiutendaji? Double standards za nini bana? Pinda...
  8. Mtafiti1

    Mgomo wa madaktari - Updates

    Inaelekea una "ya ndani kuliko tujuavyo" hebu mwaga hapa jamvini tuchambue
  9. Mtafiti1

    Mgomo wa madaktari - Updates

    hehehehheh unatania wewe! Uliona wapi kazi ikalazimishiwa mtu? Si walishawahi kutishiwa halafu ikawaje?
  10. Mtafiti1

    JF Man & Woman Of The Year 2011 Competition

    Huyu aingie ile category yenye utata maana hapo zamani za kale alikuwa HE.Ghafla akaibuka kuwa SHE!
  11. Mtafiti1

    Hili laweza kuwa vazi la taifa

    Hujakosea aisee! Hili ndilo swali la msingi.
  12. Mtafiti1

    Dr. Slaa akinywa kahawa na Binti wa Kiarabu..

    Tatizo liko wapi?
  13. Mtafiti1

    Waziri ananitaka kimapenzi

    Ameota katongozwa na waziri na kuhongwa gari!
  14. Mtafiti1

    Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

    utapewa miongozo humo humo ndani
  15. Mtafiti1

    Ref: Upo tayari kufa au kufanyamapenzni na mama mzani au dada wa kuzaliwa naye

    Kwa hiyo uliwahi kushuhudia yakifanyika hayo? Uliwahi kuona wangapi wameuawa kwa kukataa?
  16. Mtafiti1

    Slums in Tanzania

    Sasa wewe unajibu nini? Mwenzio anaongelea "ukweli" kwamba Tanzania tuna shida ya makazi bora/mazuri - ambayo tungetaka tungeweza kuwa nayo! Wewe unajibu na kuringia uzuri wa sura - kitu ambacho wewe au mimi hatuna uwezo kukibadili.Uzuri wako hauleti maendeleo yoyote.Ubaya wao kama upo ( natia...
  17. Mtafiti1

    jeneza la whitney

    angezikwa tz watu wangefukua kaburi!
  18. Mtafiti1

    Men only.

    Kweli.Kiswahili cha bone marrow
Top Bottom