Search results

  1. simulizi za kweli

    SoC 2022 Biashara ya mtandaoni: Fursa yenye changamoto nyingi

    Biashara ya mtandaoni ni biashara yoyote inayotumia mtandao wa intaneti kuuza, kununua na kutangaza bidhaa au huduma.Kutokana na ongezeko la matumizi ya intaneti sasa hivi Duniani kote bidhaa mbalimbali zinauzwa, zinanunuliwa na kutangazwa kupitia mitandao ya kijamii na tovuti.Hapa nchini...
  2. simulizi za kweli

    SoC 2022 Mjadala wa wachezaji 12 wa kigeni kwenye ligi kuu Tanzania bara; bado hatui tulipojikwaa?

    Simba na Yanga kila siku Wana nunua magarasa kutoka nje, wakati vipaji kibao vipo nchini.
  3. simulizi za kweli

    SoC 2021 Uvumilivu: Changamoto kubwa ya vijana kushindwa kujiajiri

    Serikali ingeondoa kodi kwa wajasiriamali wapya wanaweza kuwapa Grace period kama wanavyofanya kwa wawekezaji wakuja.
  4. simulizi za kweli

    SoC 2021 Uvumilivu: Changamoto kubwa ya vijana kushindwa kujiajiri

    Elvis Musiba alikua mwandishi mahiri aliweza kumchora Gamba utafikiri alikuwa mtu wa ukweli.
  5. simulizi za kweli

    SoC 2021 Uvumilivu: Changamoto kubwa ya vijana kushindwa kujiajiri

    Uvumilivu ni ile hali ya kustahimili machungu.Mtu yoyote ni lazima ajenge tabia ya kustahimili machungu,kwenye kuvumilia ndipo uzoefu wa kufanya kazi kwa mafanikio unakopatikana.Uzoefu ni hali ya kukaa na jambo au kitu kwa muda mrefu. Kwenye ujasiriamali uzoefu ni jambo kubwa na la muhimu,ili...
  6. simulizi za kweli

    SoC 2021 Kukosekana kwa Upendo na Msongo wa mawazo, Chanzo cha mauaji ya wanawake nchini

    Hapa nchini kumekuwa na mauaji mengi na kujeruhiana kati ya wapenzi .Taarifa ya kufunga mwaka ya 2020 ya Jeshi la polisi nchini inaeleza kwamba idadi kubwa ya matukio ya mauaji kwa mwaka 2020 yalikuwa yanahusiana na sababu za wivu wa mapenzi ikilinganishwa na sababu nyingine. Pia jeshi la...
  7. simulizi za kweli

    SoC 2021 Katiba Mpya: Mchakato muhimu 'uliotekwa nyara' na wanasiasa

    Wanasiasa wote Duniani muda wote hufikiria madaraka,kwenye madaraka hawana mchezo wanaweza kufanya lolote ili kupata madaraka au kukumbatia madaraka yao.Ni siasa za kuchumia tumbo,wanataka au wanakumbatia madaraka ili yawanufaishe wao,kaya zao au ndugu zao na si vinginenyo. Wote wanasiasa wa...
  8. simulizi za kweli

    SoC 2021 Michezo ya kupeana hela ilivyomnufaisha Isa mchoma mishikaki wa Ufukwe wa Coco

    Njia nzuri ya kupambana na ajira ni kujiajiri.Vijana tuanze na kidogo tulichonacho ila tuwaze makubwa,hongera Isa na vijana wengine waliojiajiri.
  9. simulizi za kweli

    SoC 2021 Mimba za utotoni ni "kaburi" la ustawi wa Watoto wa Kike nchini

    Uzi mzuri kwa mustakabali wa mabinti wa Kitanzania. Pia wasichana wanaopata ujauzito warudishwe shule za kawaida wasipelekwe FDC ,si kila wilaya ina FDC.
  10. simulizi za kweli

    Je, kiprotokali Mkuu wa Majeshi (CDF) atampigia salute Meja Generali?

    Kuna mkuu wa wilaya sajenti,aliteuliwa na JPM,je mshauri wa mgambo wa wilaya ambaye anaweza kuwa meja anampigia saluti afande sajenti DC?
  11. simulizi za kweli

    Salum Rashid Hamduni kutoka ACP mpaka CP. Je, ndiye IGP ajaye baada ya Sirro kustaafu?

    Basi sawa.waislamu wote mtaenda peponi.dini yenu nzuri sana ukiwa muislamu tu pepo inakuhusu.
  12. simulizi za kweli

    Salum Rashid Hamduni kutoka ACP mpaka CP. Je, ndiye IGP ajaye baada ya Sirro kustaafu?

    Acha udini ,kwani hakuna viongozi waislamu wa hovyo?
  13. simulizi za kweli

    Salum Rashid Hamduni kutoka ACP mpaka CP. Je, ndiye IGP ajaye baada ya Sirro kustaafu?

    Dr.Kaniki yupo Kurasini mkuu wa chuo Cha diplomasia
  14. simulizi za kweli

    Salum Rashid Hamduni kutoka ACP mpaka CP. Je, ndiye IGP ajaye baada ya Sirro kustaafu?

    Si kweli hata hao makamishna wengine wanateuliwa na Rais DG wa TISS Diwani Athuman pia ni kamishna wa Polisi siku akikutana na Musa yule kamishna aliyekuwa kamishna wa Polisi Zanzibar Diwani atabana mikono (atapiga saluti) Kamishna Mussa ndiye kamishna mkongwe wa Polisi.
  15. simulizi za kweli

    TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

    Hiyo ni style yake ya uandishi,ni nzuri sana anakuhamisha msomaji kifikra unajiona na wewe ulikuwa Dubai,ulikuwa kwenye ndege iliyobeba mwili wa mwalimu nk. Unaweza kuona anajimwambafai lakini si kila mwandishi anaweza kuandika hivyo,hicho ni Kipaji Cha kipekee. RIP Balozi Abbas Sykes,naona...
  16. simulizi za kweli

    Salum Rashid Hamduni kutoka ACP mpaka CP. Je, ndiye IGP ajaye baada ya Sirro kustaafu?

    Si kweli ulivyosema baada ya IGP yeye ndiye anayefuata Polisi kuna makamishna wengine kama kamishna wa intelegensia,kamishna wa utawala,kamishna anayehusika na masuala ya operesheni, kamishna wa upelelezi,kamishna wa Zanzibar,kamishna wa Polisi jamii. Hao wametangulia kuwa makamishna (seniors)...
Top Bottom