Search results

  1. Daudi1

    Wale wa EPL tabiri top 4 yako mapema ukianza na bingwa!

    Kwahiyo Bado unabisha, mlisema ooh ikifika machi aseno watarudi kwenye nafasi yao, machi hiyooo inayeya
  2. Daudi1

    Wale wa EPL tabiri top 4 yako mapema ukianza na bingwa!

    Aisee kuna watu bado wanabisha? Arsenal ndoo, Haland Kiatu Hizo nafasi zingine jipangien wenyewe
  3. Daudi1

    Kufinyia kwake kwa ndani huenda sambamba na utoaji wa shuzi, tatizo nini hapa wadau?

    Duh! Nitakuwa naishi Mercury Mimi, kufinyia ndani ndio nini?
  4. Daudi1

    Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

    Huwa wanakiburi sana kwa sababu ya pesa zao, mwanamke wa namna hiyo, huwezi ukafuliwa, kupikiwa inakuwa tabu, hata unyumba kunyimwa inakuwa sio shidaaana hujiona kama ni mabosi, tena usiombe ukapata mwenye kacheo kazini kwake anahamishia kacheo nyumbani. Kazi kwako
  5. Daudi1

    Kuoa mwanamke anaejichubua ni kukosa akili kabisa

    Mwanamke anayejichubua ni hatari
  6. Daudi1

    Kilio cha wanaume huko nje: Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu!

    Hapana sio kweli, John amekulia mazingira tofauti ana tabia zake na misimamo take, na Khamisi amekulia mazingira tofauti na tabia zake kamwe hawawezi kuwa sawa
  7. Daudi1

    Kilio cha wanaume huko nje: Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu!

    Hiyo sio tit for tat, akutelekeze John halafu ukalipize kwa Khamis ambaye hausiki? Kwanini usilipize Kwa John huyo huyo hiyo ndio ingekuwa tit for tat
  8. Daudi1

    Wanaume ifike mahali tukubali ukweli hatuwezi kupingana na asili, Mwanamke ni lazima ahudumiwe

    Vitoto hivyo vinavyolalamika, ajira ngumu hela hamna na wao wanatafuta mishangazi ya kuwalea kwaninj wasilalamike, anayejitambua huwezi kumsikia akilalamika labda achezewe faulo, au goli la offside hapo atalalamika
  9. Daudi1

    Kilio cha wanaume huko nje: Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu!

    Mbambikie aliyekukataa, kwanini umbambikie aliyekuthamini katika wote waliokuumiza yeye akaona thamani yako, fikiri umelala na wanaume wangapi waliokuahidi kukuoa lakini walikuacha? Umetoa mimba ngapi za hao waliokudanganya na wakakuacha, lakini yeye akakupenda na kukuthamini na kuona unafaa...
  10. Daudi1

    Kosa la Esau wa kwenye Biblia ni lipi?

    Kama Mungu alimbarikia tumboni kwaninia Waebrania 12:16-17 inasema Essau aliuza urithi wake kwa ajili ya njaa?
  11. Daudi1

    Wanawake wasomi hawaolewi kwa sababu hizi...

    Usioe usomi wakee, usomi aweke nje akiingia ndani anakuwa mke, mambo ya familia amua mwanaume hakuna discussion ukiruhusu ruhusu discussion ndio utaleta majibizano na ubishi usio na maana, husika Moja kwe Moja kwenye huo usomi wake ajione pamoja na usomi wake kwako si kitu, usiulizie ulizie...
  12. Daudi1

    Kosa la Esau wa kwenye Biblia ni lipi?

    Hapana ndio maana maandiko yanasema hakukumbuka kutubu, maana yake lilikuwa kosa, Petro alimsaliti Yesu mara tatu lakini alikumbuka kutubu maana yake alikiri makosa yake hata kama Yesu alisema kuwa atamkana mara tatu
  13. Daudi1

    Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

    Mambo yanachanganya sana kwenye hii dini ya haki, naona kuna haki hapa inasiginwa
  14. Daudi1

    Kisa cha Kweli: Mimi na Baba tutamsamehe vipi Mama? Nami nitawezaje msamehe Mzazi wangu?

    Wewe ndio hujaelewa, Mzee ana watoto wanne, mabinti watatu na kijana mmoja, katika hao watoto wanne wawili tu ndio halali wa huyo Mzee lakini mmoja ni mtoto WA yule doctor mgonjwa ambaye alizaa na mama yake, kijana mwenyewe ni mtoto aliyeibiwa Kwa kubalishwa
  15. Daudi1

    Kisa cha Kweli: Mimi na Baba tutamsamehe vipi Mama? Nami nitawezaje msamehe Mzazi wangu?

    Inawezekana kwani wanaotupa watoto miezi 9 inakuwa haijakamilika?
Top Bottom