Search results

  1. M

    Rais Samia: Tuache migongano, kusengenyana, uvivu na uzembe ili tufanye kazi za watu

    Well said, kuna watu wa ovyo sana utasikia amri kutoka juu, ukimuuliza juu kwa nani nimuone hasemi, uoga na kutokujiamini
  2. M

    Tunarudi kwenye enzi za mabosi wa Mashirika ya Umma kujaza watu wa makabila yao. Tiketi aliyotoa Rais inaenda kupiga mchujo wa kikabila kwenye ajira

    Zinarudi enzi za TRA- kujaza Wachaga kana kwamba makabila mengine hakuna wanaokidhi vigezo. Mwaibula na watu wake wa Iringa pia aliwajaza sehemu fulani.
  3. M

    Bwawa la Nyerere na MV. Mwanza ni kielelezo tosha kuwa Hayati Magufuli alitumia vyema pesa za umma. Sio hii habari ya tril 1 kujenga madarasa hewa

    Issue ya madarasa inaboa sana, wanajinasibu wamepata matrilioni ya pesa kujenga madarasa lakini wananchi wanachangishwa pesa kujenga madarasa, hii mbona siielewi? Mliosoma Cuba mnisaidie
  4. M

    Tangu tupate Uhuru, Tanzania haijawahi kupata Rais mnyenyekevu, Mpole, Msikivu, Mtulivu na mwenye hofu ya Mungu

    Hizo sifa zote zinawasaidia majizi lkn wazalendo wa nchi hii tunasema hakuna ukweli hapo
  5. M

    Kamari inapunguza mzunguko wa Fedha kwenye uzalishaji na kufanya maisha yawe magumu, CCM liangalieni hili

    Barcelona jana alipotoka na ushindi wa goli moja dhidi ya Villarreal, wallet yangu ikanona kwa kitita cha 10,100,000/= halafu uniambie eti kamari mbaya?
  6. M

    Kumbe wasiojulikana bado wako kazini?

    Hawatashindwa kukamata eti ni raia halali bali wanakamata watuhumiwa, msije kujidanganya eti Samia hana noma, thubuuuuutu mambo ya usalama wa nchi ni another level.
  7. M

    Wabunge wa majimbo haya hawawajibiki…

    Nyamagana Mwanza, huyo Mabula ni boya kabisa tunatamani Wenje arudi 2025 tumpe Jimbo, na kama siyo Wenje basi aje John Heche tumkabidhi Jimbo ila siyo John Pambalu maana bwana mdogo ana siasa za kishamba.
  8. M

    Chalamila amesema watu wa Kagera wanaongoza kwa fitina na majungu kuliko mikoa yote

    Chalamila yupo sahihi, Wahaya ni wabaguzi sana kwa watu wa makabila mengine wanaokuja Kagera eti mnawaita Wanyamahanga, pia mna ujuaji wa kishamba sana. Kwa kweli kwa majungu mko vizuri kupitiliza na ndo maana hakuna mtu wa kabila tofauti na muhaya anapenda kuishi Kagera na hata wana Kagera...
  9. M

    Hamisi Taletale na PhD ya USD 2,500

    Dr. Khalid Aucho tulimpa udakitari hapa hapa Bongo why Babu Tale akaununue udakitari nje kwa dola 2,500?
  10. M

    Tundu Lissu: Wabunge waliongezewa kura feki 11,383 kila mmoja na hakuna takwimu za kura za Rais kwa kila Kituo

    Sijauona moto aliouwashaTundu Lissu zaidi ya kupambana na Hayati Magufuli hadi leo
  11. M

    Rais Samia: Nyuma kidogo pesa za plea bargaining nyingine uki-trace uliambiwa kuna akaunti China

    Huyu mama naye analialia tu, achukue hatua kwani wahusika si wapo? Yeye yuko busy kuwaonyesha Watanzania kuwa ni msafi kumbe takataka tu
Top Bottom