Search results

  1. M

    Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

    Cha msingi vijana wetu wa kike na kiume waelekezwe kuacha uzinzi
  2. M

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Au chuo alichosoma kibadilishwe jina liwe la kwake
  3. M

    Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

    Wote wanaungwa mkono SSH na mwenyekiti wa CDM
  4. M

    Ni vitu gani ambavyo huvipi kipaumbele zaidi unapozidi kuzeeka?

    3. Kununua vitu ambavyo havina umuhimu katika maisha kama kila toleo la simu
  5. M

    Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

    Katiba iliyoanzisha makanisa hayo zinaruhusu kujitenga?
  6. M

    Natoa siku 14 kwa viongozi wa Tanesco walioshiriki kuninyima umeme mbezi beach!

    Hii taarifa PCCM waidake chap... Ili wafanye kazi yao
  7. M

    Kwanini kujenga nyumba imekuwa ni fashion kwa Watanzania?

    Nyumba ni uchumi... Kwa sisi tuliozaliwa DSM Kwa mfano Sinza miaka ya 80's ilikuwa mashamba ya mpunga na mtu angeweza kupata eneo kirahisi. Leo kiwanja ni milioni 300-500.
  8. M

    Marufuku ya Bweni Shule za Msingi, Serikali imekurupuka

    Changamoto Bado inakuwepo sababu mtoto wa mwingine atakuja kuathiri jamii. Labda atakuja kuwa mkwe wangu ambaye amekosa malezi ya wazazi
  9. M

    Marufuku ya Bweni Shule za Msingi, Serikali imekurupuka

    Tumelalamika muda mrefu. Lingine ni hili la wanafunzi kusoma weekend, nalo wanatakiwa waliwekee mwongozo. Sababu shule hazijitambui
  10. M

    Marufuku ya Bweni Shule za Msingi, Serikali imekurupuka

    Poleni sana. Lakini mnajisikiaje mnapata mapato huku jamii inaharibika
  11. M

    Marufuku ya Bweni Shule za Msingi, Serikali imekurupuka

    Wanafunzi wote wa elimu ya msingi walelewe nyumbani. Kuwe na shule chache za bweni Kwa wale wenye changamoto. Serikali isiruhusu wanafunzi wa primary wakae bweni. Ni hatari
  12. M

    Godbless Lema: Nilimpigia Kikwete baada ya Magufuli kuondoka, nilimwambia aongee na Mama nataka kurudi

    Alimpigia kama Rais mstaafu. Kwani kazi ya wastaafu ni nini? Si pamoja na ushauri?
  13. M

    Serikali ipige marufuku shule Binafsi kulazimisha Watoto wa darasa la Nne na la Saba kukaa Bweni

    Hili suala wizara inayohusika na ulinzi wa watoto isipolikemea nina uhakika tutakuja kulia huko mbeleni.
  14. M

    Kisa cha Kweli: Mimi na Baba tutamsamehe vipi Mama? Nami nitawezaje msamehe Mzazi wangu?

    Vipi bado vikao vya familia vinaendelea? Mbona umesitisha story bila maelezo?
  15. M

    Rwanda yaongoza kwa Watu wake kuishi Umri Mrefu kwa Nchi za Afrika Mashariki

    Lakini mtu anayeishi Ulaya leo anategemewa ataishi miaka 100. Kwa hiyo unasemaje? Japan huko life expectancy itafika 100 plus
Top Bottom