Search results

  1. Anakata

    Baa za Tabata na maeneo yake ya kula bata

    Unaendelea alipoishia [emoji3]
  2. Anakata

    MSAADA: Nimepata mgonjwa wa ajabu nyumbani

    The best ways to improve himself are by application of either psychology or religion, perhaps by both of them.
  3. Anakata

    Je, ni halali kwa kisimbusi cha Azam kuiondoa TBC kwenye free local channels?

    Sikumbuki mara ya mwisho lini niliangalia TBC. Waiondoe tu!
  4. Anakata

    TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

    "Alcohol is for people who are dying, for those who are in misery." - - Proverbs 31:6
  5. Anakata

    TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

    Ukinywa pombe, hauwezi kutafakari tena hadi pombe iache ubongo.
  6. Anakata

    TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

    "Brave men are not those who drink a shot of liquor in font of their friends, but those who didn't drink it." - - Pablo Escobar
  7. Anakata

    Kumbe shemeji mtamu namna hii, basi nina mtihani mkubwa huko mbeleni

    Mkuu vitu vyote ulivyofanya siku ya leo, hiki ulichitusimulia ndiyo umeona muhimu sana kwetu kukijua?
  8. Anakata

    Msaada wa windows 10 pro (Kama upo ARUSHA)

    Upande wa Linux, na shauri atumie Zorin OS Pro, unaweza kugeuza muonekano wake kuwa kama Windows 11 au mac, bonge la Linux distro!
  9. Anakata

    Rais Samia: Pwani wanakata sana miti na kusababisha uhaba wa maji

    Aeleweshwe vizuri chanzo cha mto Ruvu, yaani umeanzia wapi hadi kufika na kupita kuelekea bahari ya Hindi. Sijui kwa nini wanasiasa wanasahau vitu au mambo waliojifunza na kusoma toka elimu ya msingi hadi chuo kikuu!
  10. Anakata

    Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

    USA & UK wana malengo yao pale Ukraine. Ni kama wameamua kumpa chochote Mjapani nayeye anufaike na huo mgogoro. Kumtuliza Mjapani kiaina.
  11. Anakata

    Kisa cha kweli Mjini Morogoro

    Restaurant = Mgahawa Food = Chakula
  12. Anakata

    Kila napoangalia naona kazi ya kutukuka ya Rais Samia, Tunataka nini tena Watanzania ili turidhike?

    Umelipwa shilingi ngapi kwa kuandika hii makala mkuu?!
  13. Anakata

    Je, oil ya petrol italinda kenchi zangu?

    Kwanini usingetumia mbao ambazo zimewekwa dawa tayari?
  14. Anakata

    Kipi kinakufanya ujihisi siku yako imekamilika au haijakamillika?

    Siku yangu itakalika endapo tu nitatimiza yale yote nilivyopanga kufanya siku husika.
Top Bottom