Nimeona matukio yaliyowahi kutabiriwa na huyu TB Joshua hapa SCOAN | The Synagogue, Church Of All Nations | Foreign Journalists
Ya kuhusu uchaguzi wa Tanzania sijaione, landa itawekwa baada yakutimia.
Siri ya Mungu ni kubwa sana.
Hongera Jerry kwa kurudi TBC.
Kwa wale waliosahau, huyu jamaa alianza kufanya kazi za media pale ATN (mbezi) akiwa anaongoza kipindi cha vijana. Baadae alihamia TVT huko alikuwa na kipindi flani (nimesahu jina) ila alikuwa anasafiri sana mikoani na kufanya mahojiano na watu mbali mbali...
Pole sana aisee, ila kheri mmefika salama japo kwa mashaka mashaka.
Nchini kwetu kuna aina kama bili hivi ya wafanya biashara (kusafirisha abiria):-
1. Kuna wale wanaofanya biashara hiyo kwa utaalam (namaanisha professionally). Hawa hata staff wao huwa naona wana maadili na wanaheshimu kazi...
Alternatively:
To successfully answer such a question:
First, you need to have an insight of how much is the official salary for the post. For example, Governments, UN and other similar Organizations have standard salary scales. However, if its kind the Organization/Company does not have some...
Karibu sana.
As kuhusu cisco..unamanisha Cisco Systems au?.....kama ndivyo mi binafsi sijawahi kusikia, labda unaweza kudokeza nini malengo yake kwa mfano ukiianzisha...nadhani kuna watu wengi tu wamefanya CCNA/CCNP course lakini pia wapo wenye uzoefu wa kutosha na hizo vifaa....
Asante
Hata ikiwezekana nani wa kusimamia hiyo sheria?....naamini kabisa sheria zilizopo zikisimamiwa kwa ukamilifu hii itapungua kwa silimia kubwa sana....
mpaka siku siasa itakapo acha kuingilia kila jambo ndo tutaona maendeleo...vinginevyo kufa kama kawaida tu....kisha gov itatoa rambi rambi.
Kwanza, NCC ni kitu gani?
Recognitions
NCC Education works closely with universities to offer an affordable way of getting an internationally recognised qualification. The International Degree Pathway offers a selection of programmes that lead to UK degrees and masters. The unique pathway...
kama jamaa alikuwa tayari amesha ingia ndani...ni ishara tosha kuwa alikuwa na uwezo wa kuingiza kitu chochote...mfano bomb amabalo linaweza kulipuka badaea sana mkuu akiwa ndani na walinzi wake. Kazi ya ulinzi tena kumlinda mkuu wa nchi ina involve mambo mengi sana zaidi ya hilo la kumwangalia...
Habari wakuu,
Nimevutiwa sana na public speach ya President Paul Kagame aliyo itoa May 28 mwaka 2008 nchini Singapore, nikaona ni muhimu na ninyi muone na kusikiliza pia.
YouTube - Africa and Rwanda: From Crisis to Socioeconomic Development
Weekend njema.
Mambo August,
Kama unatafuta kazi na uko makini basi weka CV yako kwa usahihi, hiki ulichoweka hapa mi binafsi sijakielewa. Otherwise nakutakia all the best...ukiwahack hao FBI basi watakuajiri maana utakuwa umewafunua (Natania....) Kazana mzee.....hack for living.....hack for....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.