Inasemekana Mkurugenzi wa shilika la SHIDEFA anahusilka. kwani ni mtuhumiwa wa sikunyingi na siku hiyo alikuwa ktk duka la jamaa mmojawapo kati ya walio vamiwa mpaka wakati wa kufunga kumbe alikuwa anaangalia mauzo na keshoyake akasafiri
. tunajua kafanya hivyo kuhadaa uma
Tunaomba IGP aongeze nguvu, vijana wake wameshindwa. Kwa juma moja wameshavamia nyumba zaidi ya tano. Wananchi tunaishi kwa hofu kwani ni mara ya kwanza kuvamia mjini.
Mi ukinipiga nakupiga. mpaka apatikane mshindi, siwezi kuogopa magwanda naukinizidia nakimbia ila kitakacho kupata baadae utajuta kunipiga kwani nitaku Ufosaro wewe na familia yako.