Kwahiyo saizi hairuhusiwi KUAMKA kisa tu mzungu alianza zamani?Kwakua Mzungu alikuletea UKIMWI ukakubali na baada ya muda kaleta ARV unamuona Mungu basi inatakiwa AKILI iende hivohivo?
Leo ni wazi kabisa wanaleta utopolo Corona basi inatakiwa ukubali kisa huko mwanzo ulikubali?AFRICA ITAAMKA...
Umeambiwa mficha maradhi kifo umuumbua, So hizo data ni USELESS. Inatakiwa useme ukoo wetu karibia wote wamekufa, majirani zangu wamebaki watatu.So hili linatakiwa lianze na wewe na sio story za kusikia
Kwahiyo wewe KICHWA CHAKO kinataka kusikia dawa za WAZUNGU TU?Dawa ikapatikana Hapa Tz na wakatangaza kwako ni upuuzi ila angesema mzungu ingekua sawa.HIZI NI AKILI ZA KIPUNGUANI
Umejibu nilichouliza au unajibu ulichokariri?Yaani unaleta story za WAJIBU kwenye ishu ambazo akili yako inakuambia ni HATARI?Njia zote za kujikinga unazijua, kwanini USIZIFUATE?
Haisaidii kivipi wakati unaweza kuwaambia watoto wako hakuna kutoka nje, vaeni barakoa. Kwanini usiisaidie family yako kwa kuchukua hatua kama hizi?Hata wageni wakija kwako unawaambia. Sifikiri kama umeona Simba utasubiri amri ya kujihami wakati unajua nn cha kufanya.
Wewe unakariri mambo. Mount Meru yupo moshi Dar na sehemu mbalimbali na yupo nchi zingine pia. Swala ni kupanua mipaka ya biashara. Kwa akili yako mtu kufungua biashara nje maana yake Tz hali tete.Ni 2018 Mount Meru kafungua kituo Kinyerezi wakati huohuo nchi zingine pia kafungua. Shida iko...
Kwahiyo Mount Meru,Bakhresa na wengine kufungua biashara nje ya nchi ni kukimbia TANZANIA?Hizo story Wasouth kuchukua viatu vya mtumba Dar unatoa wapi?Wakati watu wanatoa Viatu vya mtumba Malawi na kupeleka Tz?Nachoona Hapa mnaleta SIASA kwenye mambo yasiyo na SIASA. Huyo mwenzio huko juu...
Kwahiyo Mount Meru,Bakhresa na wengine kufungua biashara nje ya nchi ni kukimbia TANZANIA?Hizo story Wasouth kuchukua viatu vya mtumba Dar unatoa wapi?Wakati watu wanatoa Viatu vya mtumba Malawi na kupeleka Tz?Nachoona Hapa mnaleta SIASA kwenye mambo yasiyo na SIASA. Huyo mwenzio huko juu...
Hao wanaofunga viatu Nairobi walikua wanafunga Dar?Kuwa SA sio hoja,swala ni kuelewa mfumo wa hizi biashara za hizo nchi.Before Corona mambo yalikua safi tu,lkn baada ya Corona hali imebadilika sana.Kuna wasafiri wa kutoka Hizo nchi wanaenda Dar lkn kwa uchache sana na sababu kubwa ni hiyo...
Watu hawasafiri mkuu na kama wanasafiri ni kwa uchache sana na sababu kubwa ni mabus hayavuki boda. Mfano kulikua na Falcon na Taqwa zinaenda Lilongwe direct. Now hazifiki huko zunaishia boda na hazina abiria hata kdg.Sababu nyingine ni wengi ilikua ni rahisi kupenya hadi Dar coz mabasi yalikua...