Habari wapendwa..
Mara ya kwanza nilivodownload uttorent app,ilikuwa inadownload movie kwa speed sana..
Ila siku hizi speed imeshuka mpaka 2kb/s..
Nikacheki YouTube wanashauri kutumia VPN..VPN app zenyewe in majanga tu..Je wewe unafanya trick gan kuboost speed ktk Uttorent Kwenye Simu??
Alikiba a.k.a Mfalme wa bongofleva alitoa nyimbo ya AJE,may 19,mpaka sasa ina 4,855,844+ views.
Yeye ni mwanamuziki mkubwa hapa Tz na Afrika kiujumla.Ana mashabiki wengi sana.Sasa kama yeye ni mfalme mbona ana views chache/? Je ni kwa sababu,
1.Nyimbo zake ni mbaya?
2.Mashabik wake...
Uwepo wa timu za kishabiki ndio unaofanya wasanii wengi wasing'are. Ila kiukweli wasanii kama Darassa, Ben Paul, Barakah, Jux, Barnaba wanafanya mziki mzuri kuliko uwepo wa timu za kishabiki ndio unaofanya wasanii wengi wasing'are.
Timu zao zitaua mziki wetu hawa mafahali wawili.
Anasema:
"Hawaamini kwenye kuunda Diamond au Kiba wawili. Wanachoamini ni kumshusha mmoja ili mmoja awe dili"
=======
Sumu Lyrics by Fid Q
[Verse I:]
Alieniumba alinipa mdomo hovyo nina haki ya kuongea/ ni bahati nimeotea..safi… Kamwe siachi kuishea/ hamtaki niwe fair…? Trust me.. Me huwa...
Igizo hili limehusisha mandhari ya kijijini na mjini.Ni zuri sana kwani linaelimisha kuhusu uongozi mbaya,kutafuta haki,matumizi mabaya ya fedha,uhuni n.k. usikose kuangalia ni kila jumamosi saa 3:00 usiku.Je wewe unalifuatilia?,unalionaje?
Igizo hili limehusisha mandhari ya kijijini na mjini.Ni zuri sana kwani linaelimisha kuhusu uongozi mbaya,kutafuta haki,matumizi mabaya ya fedha,uhuni n.k. usikose kuangalia ni kila jumamosi saa 3:00 usiku.Je wewe unalifuatilia?,unalionaje?
Uzi huu kuhusuiana
na la tempestad,tutakua tunajadili mwenendo wa tamthilia yetu pendwa ambayo inahusisha wakali kama Captain Damián Fabré, Marina Reverté Artigas
de Fabré,Magdalena Reverté Artigas,Mercedes
Artigas,Fulgencio Salazar,Beatriz vda. de Reverté,Úrsula Mata,Esther "Esthercita"...