Umeandika bila aibu, waandamizi wanasema kuna ukiukwaji wa kutumia manguvu bila akili kwenye Kodi ikapelekea watu kufungiwa na kufunga biashara, Sasa wewe ndio uliyetumika kuwadhuru watu?
SABAYA UMEHARIBU SANA, HATA HIZI ACCOUNT UNAZOTUMIA KUJISAFISHA NI ZAKO SABAYA ZIPO HUMU KIMKAKATI, UKIZUNGUMZWA NA WATU KWA MEMA BASI MBELENI HUWA KWEMA.....ONA MAMA SAMIA-RAIS WA JMT ALIZUNGUMZWA VYEMA NA WALIMWENGU ONA LEO ALIPO, NA SIO HAPO TU ANAELEKEA AFRICA NA ULIMWENGUNI WEE MWENYEWE UTAONA
Hawa vijana wanaishi kijanja janja wanaishi kwa kujitia utahira wa kujikombakomba ili siku zao ziende, wako radhi waue watukane wadhalilishe ili wapate mkate kwa watawala, makonda alisujudu kwa samueli sita baadae kageuka akawa kwa jk, akageuka akawa kwa jpm na kuponda ya kikwete leo baba...
Awaombe msamaha mkuu wa mkoa, na wote aliowadhihaki kwamba yeye anaripoti direct,kubwa jinga kabisa, aliamini binadamu akawa Kama umbwa Kichaa anayevamia vamia watu ovyo ovyo
YAANI KATIKA MAMBO YA MAGUFULI MAZURI YOTE YALIHARIBIWA NA TABIA YA UBAGUZI Tu, alikuwa mbaguzi wa wazi wazi bila hofu ya Mungu, miradi na mengine ya maendeleo ninamkubali sana, Ila UBAGUZI NA VISASI MUNGU AMSAMEHE... ETI NIMEKUPA GARI MSHAHARA..ALAFU UKAMTANGAZE WA UPANDE ULE, ....NA KUPOTEA...
HAFAI, HANA HESHIMA NA MWENZAKE SABAYA, HAWAJUI URAIS NI TAASISI, NI SYSTEM, HOFU ZAO NA KUHUSU KIONGOZI ANAYEFUATA ZIWAONDOE KWENYE VITI, ALAFU ANATAJA NA MAKABILA, HAWA NDIO WALIOSABABISHA GOVT IKACHUKIWA CHUKIWA KWA MATENDO YA CHUKI ZA OVYO KWENYE JAMII
WEE BWANA UNA FIX....UNATUNGATUNGA VITU....WEE NI AFANDE SELE NINI? ......ULITAKIWA KUONGELEA JUU YA MAMBO YA KUJENGA BINGWA WETU ALIYAFANYA....TUNAENDELEAJE KUTOKANA MAONO YAKE KWA UTEKELEZAJI...TUPE NAMNA.....SIYO UNATUJAZA HASIRA ZA KIGOMBANISHI....HATUITAGI FIKRA ZA KIVISA VISA....TWENDE...