Natafuta eneo la kuuza juice ya miwa,nina mashine na banda na kila kifaa kinachohitajika hivyo natafuta eneo.
Likiwa Tabata segerea stand itafaa zaidi
Ni lazima kuena mzunguko mkubwa wa watu.
Kwa yeyote mwenye eneo anichek dm
Huu ni ugonjwa gani..kuku anakua kazubaa na akisinzia kuna mda kichwa kinageuka kama hivo..hizo dalili amekaa nazo kwa siku 2-3 hivi
Kinyesi chake ni cha njano chenye maji mengi picha ipo hapo.
Ni kifaranga chotara.
Kwa anayetaka icloud id info za mtumiaji wa mwanzo(email,namba za simu,mahali anapoishi) zinapatikana,NO PASSWORDS.
65$ anayehitaji aje PM.
Zinapatikana kwa imei number,na ile email inayodisplay with hidden characters pia ni muhimu.UDID pia.
Natoa network lock za mitandao ya nje kwa simu aina nyingi,kuna zile simu ambazo hazisomi mitandao ya Tanzania zinaingia kwenye hili kundi,
Naunlock icloud clean devices(only clean devices)hapa kuna huduma za haraka na zile zinazochukua muda kiasi,kwa huduma za haraka ni vyema kwa wenye iphone 7...
:DHabari zenu wakuu,natumaini mna afya njema kabisa na tunaendelea vizuri na mfungo.
Sasa hapa naomba tutaje vitu vyote visivyoacha watu salama maana naona vimezidi sasa tuvimalizie hapa ili tuachane navyo.
Kwa kuanza,KUTOKUA MAKINI UKIENDESHA VIFAA VYA MOTO HAVIKUACHI SALAMA!!!!
Karibuni:D:D:D
Watanzania wenzangu niulize,hivi tuna shida gani hata tupende dawa kiasi hiki?Yani tukisikia tu tunda fulani dawa basi litakua dili sana kwani tunaumwa nini?dawa kazi yake kutibu hivyo tunamatatizo gani haswa hata tupende dawa kiasi cha kuwaingizia wengi faida kubwa sana kibiashara?unakuta mtu...
Haya jamani gari hio hapo leo nimeweza kuupload picha bado mpya kama mnavyoona
Million 35 tu nicheki 0625979620 au kwa wale wa whatsapp wanichek kwa hii 0719628839
Gari ina plate ya C bado mpya kabisa tukielewana inafika mteja alipo
MAONGEZI YAPO
Prado tx inauzwa namba zake clq nzima kila kitu text me whatsapp 0719628839 tuongee biashara nikutumie na picha gari bado nzima mil 36 maongezi yapo
Kwa wasio na whatsapp wanitafute kwa hii 0625979620
Salaam wakuu
Leo kijana wenu nimewaza sana kuna jambo silielewi..lakini naamini hapa wapo wahusika wakunisaidia au hata wale wenye ujuzi
Hivi pesa inapotengenezwa(kiwandani sijui) taifa husika linaenda kuinunua au wanabadilishana vipi?yaani ukiweka oda ya kutengenezewa hela wewe unapeleka...
Ni kweli kua imeelezewa katika Quran zaidi ya miaka 1400 iliyopita.Tujadili kidogo kisha ntaleta na topics kama ecology na embryology kutoka katika Quran.
Kama umechaguliwa Lyamungo au ulisoma Lyamungo tufahamishane kuhusu shule hiyo tafadhali,naenda CBG pale.Kama kuna mtu ana instructions za kujiunga msaada.
Samahani wote,naombeni msaada wenu kwa hili.Najiunga kidato cha tano mwaka huu na comb zote zimebalance za arts na science.Nataka kusoma CBG lakin watu wengi nnaokutana nao wanasema si comb nzuri ni bora nisome EGM.Naombeni mnisaidie jamani najua humu wako watu wengi waliosoma hizi comb labda...