Sawa endelea
Hayo unayoyasema ndo yamekuwa yanasababisha Israel kupigwa na maadui zao na kutekwa waliwahi pigwa na kutekwa na wairan (uajemi),iraq sababu ni kuacha kumcha Mungu na kuishi kama mataifa mengine.ILA ISRAEL NI TAIFA TEULE LA MUNGU HAPA DUNIANI
Buj ibrahim alitokea iraq ni kweli wote hao ni watoto wa ibrahim kumbuka watoto wa isaka yani yakobo na esau isaka akambariki yakobo ambaye ni israel na esau aliambiwa na baba yake utaishi kwa upanga toka wakati huo hao ndugu ni vita vya kutaka kutoana roho chanzo ni esau kuuza ukubwa kwa uji...
Tatizo ni wewe unalazimisha mapenzi.mpende akupendaye asiye kupenda achana naye wanawake wazuri hawajazaliwa na hawaishi tulia jenga msingi mzuri wa maisha utapata mzuri kuliko huyo
Pole ndugu yangu hata mimi yalinikuta mwajiri wangu kamaliza kulipa sikatwi nikasikia wenzangu wanalia kuwa wamebambikiwa madeni na loan board nikaenda kuchukua statement nikakuta kuna deni la 1.4m nikataka ufafanuzi wakaniambia ni malimbikizo ya riba da kwa nini hamkujumlisha ili mwajili alipe...
Mambo ya sodoma na Gomora watu walichomwa moto .Tuache sio mazuri ndo maana Mungu anachukia kumuumba binadamu balaa kama korona ni hasira za Mungu kutokana na machafu afanyayo binadamu