Waweza jiona mtanashati lakini unatoa harufu kali zaidi ya beberu, na bahati mbaya waweza kuta husikii harufu yako, na the way you don't talk with people, no one atakuambia zaidi ya kukaa mbali na wewe! Kanunue perfume nzuri!
Otherwise utakua umetupiwa JINI kimavi, check na watu kama Mshana Jr...
Umeenda hospitali ukaambiwa tumbo lako linahitaji kusafishwa??? Au una sumu uitoe?
Msipende kujitafutia future health problems kwa kutumia kila unachopewa!
Ushauri wangu, kunywa maji ya kutosja kila siku, tumia mapapai kwa wingi, kula mabamia, na fanya mazoezi, sumu inatoka kupitia jasho na mkojo
Jifunze kumjali kwanza, maana the way umemu address, is like someone worthless to you!
Nenda naye hospital, utapata majibu ya uhakika ya hilo swali lako!
Wakati unatafuta suluhisho la kitabibu, Ita watumishi wa Mungu washushe maombi heavy, anaweza kuwa anasumbuliwa na mapepo au nguvu za giza. Wapo watumishi wana karama sana ya ku deal na situation kama hizo, and trust, atapona na kuwa sawa!!
Acha wivu, that's what makes him happy! Na wewe kama furaha yako ni kuwa low key, then keep that style.
Angepataje 5.1m YouTube views bila ku show hivyo?