Nakumbuka Ruvu jkt 2014 kuna MP mmoja hivi akiitwa afande ndomba.yeye alikua anatembea na kitabu cha sheria za jeshi muda wote.sasa akikukamata kurutu huwezi kuchomoka...sifa kubwa ya MP ndomba pale ruvu ni mbio zake.akikukimbiza hauchomoki yan..sasa Siku moja amemkurupua kuruta kwenye mashamba...
Banking Operation Officers – Upcountry ( 58 Positions)
TPB Bank PLC is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products. TPB Bank PLC is a Bank, whose vision is “to be the leading bank in Tanzania in the...
Dar mbeya sauli ni 44,000/=.na tiketi zinaisha mapema .gari zingine zote nauli ni elfu arobain hadi thelathini na tano....pia kilichomsaidia sauli ni kuwapata madereva wazuri yule mwinuka na mwanyilu
Magufuli anatakiwa kwenda vzr na hawa wabunge.Leo wanampigia mapambio na kujifanya wamwongezee muda asije kudhani wanampenda..Siku atakayotoka madarakani ndo ataona hali halisi ilivyo
Hivi jamani mnadhan kuongeza muda wa urais ni jambo jepesi kwamba unalala tu unabadili katiba,..wapo watu ccm huko wameanza kupiga jaramba la kuutaka urais halafu uwaambie leo jamaa anaongeza muda sidhani kama hawatamuua mtu