Naisi jua (sun) ndo get la sisi binadamu kuingia kwa Mungu and naisi it kitu ambacho kimekuja kublock physical human kuweza kumeet with our creator (GOD ) ndo maana unaambiwa mbingunu kumejaa dhahabu na nguo za malaika zina meta meta....
Kama mnaonaga picha nyingi za yesu unakuta usoni kwake...
Za mida?
Nimekua nikifikiria mno juu ya ili swala bila mafanikio
Japo ni wazi kila mzizi wa jini uko connected mpaka kwenye ubongo naisi imnazifahamu nerves vyema?
Basi kila jino mdomoni mwako liko connected na ubongo lakini turejee kwenye kichwa cha uzi kilivyo sema apo juu
Kwa wale...