Habarini za weekend wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya njema..
Ni hivi mimi nina mpenzi wangu tuna miaka minne sasa toka tuanze mahusiano yetu na kama ilivyo kawaida mkiwa kwenye mahusiano lazima muwe na mipango mingi ya maisha yenu ya kifamilia hapo badae mungu akijalia.
Kwa kuwa...
Wakuu habar za leo!
Naomba kwa anaefahamu aeleze sababu za Kanjibai kukimbia Nigeria wenzetu wanaigeria walitumia njia gani?
Naomba tufahamishane wakuu!
Wakuu naomba msaada kujua local channels zinazopatikana kwenye king'amuzi cha zuku. Pia naomba ushauri king'amuz gani ambacho ni kizuri
kutumia ukiondoa startimes.
Habarini wana MMU.
Jamani nina girlfriend wangu tunakama mwaka mmoja na miezi kadhaa, kiukwel nampenda ila tatizo linakuja mwanaume aliyekuwa nae(ex boyfriend wake) bado anamsumbua sana, yaani jamaa ni king'ang'anizi sijapata kuona.
Mara ya kwanza niliona kawaida ila imefika hatua hiki kitu...
Jaman wale wapenz wa muv za kutisha za kinigeria naomba tukumbushane kidogo..mm nilizipenda zaid KARISHIKA,LAST BURIAL,BILLIONARES CLUB,MARRIED TO A WITCH,HIGHWAY TO THE GRAVE,END OF THE WICKED,40 days in wilderness..na nyie ongezen wakuu
Quarter final
Brazil vs Colombia
Winner brazil
Netherland vs costarica
Winner Netherland
France vs Germany
Winner germany
Argentina vs USA
Winner Argentina
Semi final
Brazil vs Germany
Winner Brazil
Nertheland vs Argentina
Winner Argentina
Final
Brazil vs Argentina
Winner...
habarin wanajamvi.katka siku za hiv karbun tumekosana na girl wangu kutokana na tabia za ukal,na kuchukia bila sababu ya msingi.nikaona n bora tukae chin ili tuyasuluhishe.lakin baada ya kumwita na kuongea nae akaniambia kuwa yy amezaliwa na tabia ya ukal kwahiyo hawez badilika na kama...
Sina uhakika sana kama nimepatia spelling...lakin n moja ya vionjo vinavyowekwa kwenye chips...nmesikia ina madhara hasa kwa wanaume..kwa anayefahamu mandhara yake n yap??
Ng'ombe hazeeki maini!!kwa sasa kaka na ronaldinho wanafanya vizur kwenye club zao,yote kwa ajili ya kumshawishi scolari waitwe kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Brazil.na big phil alisema kwamba kati yao mmoja ataitwa kikosini endapo ataonyesha kiwango kizur.Je ni yupi unaona akiitwa ataongeza...