Msee wakati tunawambia muache maandamano ya kijinga jinga na kujitapa kuwa arusha haito tawalika tuliwaonya lakini mkatuonya washamba sasa hivi mnalia lia
Usichanganye mambo asee kuna chadema na watanzania machadema yote ndio hayataki huo muungano rejea alicho kisema mgombea wao was urais ila sisi watanzania tunawatakia maisha mema kwenye SUK yenu.
Maswali ya kitoto yakiulizwa na mtoto tunasema muulizaji ana akili ya kitoto ila swali la kiutu uzima likiulizwa na mtoto tunasema mtoto anakuwa
Ina maana hujui wakati unabadilika mwisho n mbinu hubadilika pia
Gahrib yeye amemtuma Engineer kwenda Wasafi FM kuongea.
Bakhresa alimtuma Popat kwenda Clouds kuongea.
Mwamedi yeye alichukua kikundi cha uchambaji kikiongozwa na manara akabeba matarumbeta na wasanii akaenda nao Wasafi FM wakacheza vidole juu😂🤣
nadhan utawala huu haupo upande wa watumishi hata kidogo kuanzia ulipo chaguliwa mpaka Leo tulipo ona watumishi kibao wamejitokeza kugombea kupitia ccm tukajua mambo yatabadilika labda utawala utarujirud kwa watumish kwa kuona wanaungwa mkono bwana weeee kumbe ndo wamelizua kabisaa na usishangae...