Aliekwambia kupata degree kunauhusiano na kuongea kiingereza nani.
Yani wewe unaonekana fala Kweli kisa umeombwa umsaidie mtu kuandika cv unakuja kumtangaza humu. Kwendaa kafie mbele
Naona kama unaupungufu kichwani.
Hapo fanya uondoke
Akufukuzae hakwambii toka
Halafu hapo unakaa miezi yote hiyo unakula bure hv ujiongezi..?
Dume zima kukaa bure hadi kulishwa ulishwe angalia usije kuolewa
Kupata hiyo ticket ni mtihani. Hamu yote ya tren inakuisha.
Naomba wanaohusika wafanye kama kukata ticket ya ndege.
Siku unayoamua unakata sio mtandao wao sijui wazee ndio wanaou operate . Yani ni kero
aki apply atapata. lakini nashauri asisome BED aangalie kozi nyingine itakayomfaa. vyuo vya kuapply ni TIA CBE UDSM Mzumbe, Uhasibu - Arusha hivi vyuo ada zao sio kubwa
mfano wa kozi ni:-
procurement
Human resource
accounts
Law
duh pole sn.
hapo inatakiwa ujipange kwa maisha mengine tu maana maji yameshamwagika hayazoleki kubali matokeo.
ushauri
kabla ya kufanya jambo fikiria madhara ambayo yanaweza kukukuta pia omba ushauri kabla ya kufanya