Nimelike alafu baadae nikajiuliza nime like sababu wamejitoa au nimelike sababu hicho kitendo kimelaaniwa na amnest + un au nimelike sababu hiyo habari sikuwa na ijua
Issue ya ushawishi ni kitu kingine na kuwa mgombea ni kitu kingine ila kama makonda angelikuwa na ushawishi semekana basi angewashawishi wajumbe wampitishe Kwa mlada mada sidhani kama ni kweli kuna kukimoana Bali ni nguvu ya ushawishi Kwa ujumla