Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habarini, Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe...
3 Reactions
29 Replies
139 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
265 Reactions
162K Replies
4M Views
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio...
37 Reactions
171 Replies
4K Views
Wanahabari Isack gamba, ahmed juma baragaza, fredwaa, ephraim kibonde, agnes almasy, samadu hassan, gardner g habash, prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo...
0 Reactions
16 Replies
260 Views
Nayasema haya ni kutokana na kukutana na biblia ya ndugu yangu ambae ni mkatoliki, sasa wakati naisoma nikaona mbona inautofauti. Utofauti nimeukuta kwenye baadhi ya vifungu ndani ya biblia...
2 Reactions
205 Replies
4K Views
Haiwezekani kwamba azam tv kuwa ni burudani kwa wote kama wanavyojinasibu. Mi naona hiyo kauli ibadilike na kiwa azam tv burudani kwa waliolipia mana bila kulipia huoni kitu
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Ndugu zangu Watanzania, Katika kuendelea kumuunga mkono ,kumsemea na kumtetea Rais Samia kwa kazi nzuri alizofanya ,anazofanya na anazoendelea kuzifanya katika Taifa letu nimekuja na kauli mbiu...
4 Reactions
80 Replies
545 Views
Martin MM ameandika makala ndefu katika mtandao wa X akionyesha ni kwa jinsi gani wanasiasa na wanachama wa chama cha mapinduzi wasiozidi kumi walivyojinufaisha na mikopo ya benki na baadaye...
25 Reactions
84 Replies
4K Views
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria. Akichangia makadirio ya mapato na...
6 Reactions
106 Replies
2K Views
Kwenye makuzi yetu mpaka kufikia hapa tulipofikia kuna mtu amehusika kwa asilimia kubwa mpaka kufika tulipofika. Yawezekana ni baba,mama, rafiki, bibi, babu, mjomba, mwalimu wa shule ama yeyote...
2 Reactions
22 Replies
208 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,946
Posts
49,469,897
Members
666,531
Latest member
HilariCreator
Back
Top Bottom