Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu. Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu...
16 Reactions
79 Replies
1K Views
Wana MMU, Wengi tukisalimiana unaambiwa good moorning, unajibu tu kukamilisha salamu. Unaulizwa unaendeaje na hali unajibu fasta tu salama wakati ukweli ni kwamba unakaribia ku give up, maisha...
11 Reactions
86 Replies
1K Views
Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing). Furaha Dominic ni yule kijana ambaye...
18 Reactions
132 Replies
9K Views
Nimefungua biashara ya kunyoa yaan kinyozi Siyo berbershop bado haina hadhi hiyo Lakini naona mauzo madogo je naweza nikaongeza biadhara gan hapo ili iwe inabust?? Watalamu wa biashara
4 Reactions
57 Replies
1K Views
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi. Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani...
59 Reactions
653 Replies
87K Views
Iko wazi na sio siri mwakan Tundu lissu ndo Rais ajaye; baada ya kuwa Rais atafanya yafuatayo Rais hatachagua mkuu wa tume na wajumbe wake- tume itakua huru kwa asilimia 100 Majimbo ya uchaguzi...
11 Reactions
40 Replies
829 Views
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
68 Reactions
23K Replies
2M Views
Tena ya huku ni yale ya Asili kabisa siyo yale ya Wanawake wengi huko Bongo wanayoyapata Mlongazila Hospitali tu!!
0 Reactions
0 Replies
2 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
381K Replies
10M Views
Wapo walioapa kuilinda na kuitetea katiba lakini wanasema muungano uvunjwe. Haya ni madhara ya mtu kuapa dhidi ya kitu asochokielewa. Mtu anaapa kuilinda katiba je hiyo katiba anaielewa? Nimara...
0 Reactions
11 Replies
255 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,100
Posts
49,474,172
Members
666,593
Latest member
Theresia mpoma
Back
Top Bottom