Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila...
Tunafanya decoration za namna yoyote ya nyumba yako ikiwemo kutengeneza TV show case Za KISASA, board decoration and design, kujenga tailizi, finishing zote za nyumba na kupaka rangi za KISASA kwa...
Uyu mbwa vp? Ni kwa anaumwa au ndo kazeeka? Coz namuonea huruma sana na km ana vidonda mwili mzima. N
atamani hata ningemchoma sindano ya euthanasia tu apumzike coz anaona anateseka sana hata...
Full name: Liverpool Football Club
Nickname(s): The Reds
Founded: 3 June 1892
League: Premier League
Website: LiverpoolFC.com
Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m...
Kuna mambo Mawili muhimu sana,
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa CHADEMA Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya Dar juu uzushi...
Dar ni sehemu yenye raha nyingi kama kulivyo na karaha nyingi pia. Japo kwangu nikipima naona karaha ndio zimezidi.
Ni kawaida sana kukuta misururu ya foleni ya watu wakigombea usafiri tena...
Chadema ni chama kinachoelekeza zaid wananchi kidini ukiangalia kipo zaidi na maelekezo ya kanisa hata katika balaa la bandari walijitokeza waziwazi wakishadidia dini yao ya kikiristo,huku ni...
WAMEJIKAANGA KUKWEPA KUSAJILI MIKOPO BOT
- Sheria ya Fedha za Kigeni inakataza wakopaji kutokusajili mikopo yao Benki kuu ya Tanzania, ikielekeza kuwa ni lazima wakopaji kusajili mkopo BOT
-...
Unapotenguliwa fahamu kuwa ni muda uliotimia wewe kuwa mtumishi.
Fikiri mengi lakini zungumza machache,
Sikiliza wengi lakini jibu wachache,
Andika mengi lakini ya ibada na shukurani,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.