Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Maana kama sielewi elewi hivi! Hakuna kanuni zinazokataza virendo hivyo?!! Maana sioni 'fair play hapo zaidi ya kuhamasisha vitendo vya ushirikina, kubaguana na hila mbalimbali katika mchezo wetu...
3 Reactions
17 Replies
436 Views
Sauli laxury imetoweka? Mbona barabarani hazionekani? Mwenye taarifa atusaidie. Hizi scania ni kama utambulisho wa Nyanda za Juu Kusini hasa Mbeya. Nini kumetokea?
18 Reactions
465 Replies
26K Views
Habar zenu naomba mnisaidie maswali yanayoulizwa kwenye interview ya Taesa. Shukrani
3 Reactions
91 Replies
6K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
120 Reactions
505K Replies
28M Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
44 Reactions
277 Replies
5K Views
Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha. Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi...
32 Reactions
275 Replies
5K Views
Kaenda zake kujilia mabikira..... he IDF has intensified operations within Shifa Hospital in recent weeks, where they killed numerous terrorists, including a Hamas official. By JERUSALEM POST...
1 Reactions
3 Replies
110 Views
Stephen Aziz Ki na Djigui Diarra bado sijawaona kambini na walipaswa kuwa wamerejea kutoka kwenye majukumu yao ya timu zao za taifa” - Kocha Miguel Gamondi, Yanga Afrika. Yapi maoni yako??
0 Reactions
13 Replies
324 Views
Kuna wanaodai eti kabila fulani ndo wanapenda sana ngono. Mimi Braza Kede kwa akili yangu timamu na pasina sheria wala shuruti nipo hapa kuwathibitishia kwa utafiti wangu huru kuwa jambo hilo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
15 Reactions
360 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,596
Posts
49,206,959
Members
664,061
Latest member
Proces Tech
Back
Top Bottom