Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama watu wanafuja kodi na tozo zetu kiasi hiki na hawachukuliwi hatua, kuna haja ya wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu?? Nadhani kila mfanyabiashara atafute mbinu ya kukwepa kulipa kodi.
0 Reactions
2 Replies
18 Views
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu...
3 Reactions
66 Replies
2K Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
18 Reactions
258 Replies
3K Views
Na hasa nguo za ndani kama mathalani undershirt, underwear, underskirt, undertrouser n.k Wanao kua jirani nawe wanapata tabu sana kwa uzito wa fukuto la hewa nzito ya kiutu uzima...
0 Reactions
3 Replies
62 Views
Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu...
0 Reactions
6 Replies
7 Views
MAJUTO; NAISHIJE NIMEMUACHA MUME WANGU YEYE HATAKI KUMUACHA MKE WAKE! Mimi ni mama wa watoto watatu, nimeolewa kwa miaka 12 sasa. Mwanzoni, mimi na mume wangu tulikuwa sawa sana. Alikuwa...
11 Reactions
101 Replies
7K Views
Wabongo wengi bado wajinga na akili zao zinawaza ngono muda wote hio ichukue kama fursa ya kuwapiga tengeneza account fake ya jinsia ya kike weka picha kali Kisha tafuta mavideo hayo post kama...
5 Reactions
38 Replies
273 Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
6 Reactions
142 Replies
2K Views
1. Je, katika kumpata mgombea wake wa Urais kwa muhula wa pili, CCM inataka kurudi kwenye utaratibu wake uliokuwa ukitumika wakati wa mfumo wa chama kimoja ? 1.1 Wakati wa uchaguzi chini ya mfumo...
6 Reactions
16 Replies
697 Views
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka MITATU ya Urais wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema, Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita...
3 Reactions
9 Replies
19 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,553
Posts
49,205,276
Members
664,040
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom