Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimeisikiliza hii ngoma ya Dizasta Vina. Inaitwa Mwanajua....nimeskiliza zaidi ya mara 20 Lakini hadi leo sijaelewa hii fasihi jamaa alilenga kitu gani, Kuna anaefahamu? Huyu...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu...
39 Reactions
113 Replies
5K Views
1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani. 2- Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro! 3- Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree. 4- Ndio jiji...
5 Reactions
34 Replies
647 Views
Tunarudia tena kuikumbusha Mamlaka ya Uteuzi kwamba , Si kila Askari Polisi anaweza kuwa RPC wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam , hii ni kwa sababu Kanda hii ina watu waerevu , Wasomi , wanasheria...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
139 Reactions
155K Replies
8M Views
Spika Tulia Ackson akifanya mahojiano na Salama Jabir, ameulizwa kama anamchukia rapa Sugu. Tulia amejibu kuwa hamchukii Sugu lakini pia amesema sio adui yake wala rafiki yake, na ameongeza kuwa...
2 Reactions
9 Replies
10 Views
Kwenye Science kila kitu kinakuwa supported na data au statistical significance, kinyume na hapo hiyo inakuwa ni IMANI au personal faith. Maneno kama ukikojoa mkojo wa povu, wewe una FIGO, kiuno...
2 Reactions
8 Replies
110 Views
Maana feedback za wanaotafuta mchumba, mke au mume ni chache na nadra mno ukilinganisha na request za waungwana wengi sana kutafuta wenza humu ndani. Mathalani utakuta mtu kapost mke anatafutwa...
3 Reactions
21 Replies
126 Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
148 Reactions
12K Replies
4M Views
Good evening, Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi. So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike...
9 Reactions
71 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,553
Posts
49,488,941
Members
666,768
Latest member
JBLEMUTZ
Back
Top Bottom