Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bwana haji Manara sawa kuoa ni haki yako ya kidini lakini isiwe geuze kuwa chanzo cha mapato kwa kulenga michango utakayopewa na ndugu na jamaa. Haiwezekani wewe ni kuoa kuacha kuoa kuacha...
3 Reactions
9 Replies
270 Views
Kuna mambo mengi Makolo yaliya buni badala ya kusajili quality players wenyewe walitaka ku master mambo ya nje ya uwanja ... Mfano suala la kibegi Cha Simba walikipandisha Hadi mount Kilimanjaro...
0 Reactions
4 Replies
44 Views
Juhudi za mtu mweusi kujenga umoja na waarabu. Mavazi ya kiarabu - kuvaa kanzu, kobazi, barakshia, n.k. Majina - ni kawaaida kukuta jina la kwanza mpaka la ukoo la kiarabu Lugha ya kiarabu -...
5 Reactions
7 Replies
81 Views
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Niliwahi kusikia habari za EAZY-E kwamba yeye ndiye GodFather of Gangsta Rap. Na zaidi nikaja kusikia kuwaKwa miaka ya 1986-1992 ni EAZY-E Pekee ndiye rapper aliyekuwa na pesa nyingi zaidi kuliko...
13 Reactions
106 Replies
1K Views
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza. Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote...
3 Reactions
22 Replies
543 Views
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA MTUNZI:SINGANOJR . AGE:18+ NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346 PROLOGUE../DIBAJI...
31 Reactions
4K Replies
2M Views
Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC (VTPLC), imekamilisha ununuzi wa Smile Communication Tanzania Limited, kampuni ndogo ya simu inayoshindana, bila deni au fedha taslimu, kwa TZS 68.8 bilioni ($27.4...
3 Reactions
7 Replies
111 Views
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️ Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja? Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja? Kudhalilisha...
5 Reactions
41 Replies
396 Views
Anasema kipindi kilichopita kilikuwa na kikundi kinaitwa task force. TRA walikuwa wanafunga account za wafanyabiashara kwa kisingizio cha kukusanya kodi kwa kutumia Task force hivyo kufilisi...
11 Reactions
96 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,993
Posts
49,403,330
Members
665,810
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom