Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wana theolojia. Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
1 Reactions
10 Replies
208 Views
Mnaotumia barabara ya morogoro, kibaha mlandizi au chalinze Mlandizi hali bado ni tete. Wenye mko na njia mbadala jiongezeni au subirini. Kama sio lazima sana kusafiri ebu subirini, manake malory...
3 Reactions
4 Replies
167 Views
Kampuni ya usafirishaji Mabasi, New force imehusika kwenye ajari nyingi sana. Ifike kipindi mamlaka husika itueleze tatizo lipo wapi vinginevyo roho za watu zitazidi kuteketekea tu kila kukicha.
3 Reactions
18 Replies
500 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
260 Reactions
156K Replies
4M Views
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
12 Reactions
107 Replies
2K Views
Kwako mkurugenzi wa TANOIL fanya yafuatayo kuongeza mauzo kwenye vituo vya mafuta vya TANOIL ili kampuni ipate faida. Kwanza kabisa naomba kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa kuruhusu uhuru wa...
1 Reactions
17 Replies
350 Views
Ni kubwa sana kiumbo, ikiwa kwenye hadhira, Ni Mamba kama wa Mombo, Sema ye hana madhara, Yakichambuliwa mambo, yatakutia hasira, Mamba huyu mamba gani, mbona hawezi kung'ata? Hukaa kimya...
6 Reactions
23 Replies
804 Views
Hapa nazungumzia yale makabila ambayo undugu una uzito mkuwa, kuna wale ambao mambo ya undugu hayanaga uzito wala sio shida. Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo ukinyoosha mkono utaambiwa...
5 Reactions
12 Replies
262 Views
Tupo kariakoo unaletewa bidhaa ndo unalipa kwa aliyeko dar-es-salaam punguzo lipo 0713520180
2 Reactions
151 Replies
4K Views
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu. Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na...
14 Reactions
65 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,449
Posts
49,202,077
Members
664,009
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom