Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hebu angalia hii video clip fupi Sana wala haikumalizii bundle lako, haifiki hata mb1, kama ulikuwa unajiona na wewe ni Mwarabu basi elewa wewe ni takataka tu Kwa Waarabu. Jitafakari. Cc...
14 Reactions
123 Replies
2K Views
ZITTO ANAPOMFUNDA MBOWE KWA VITENDO. Aliyekuwa kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na mpigania demokrasia ndani ya vyama na serikali kwa ujumla Zitto kabwe aachia ngazi baada ya miaka kumi ya...
3 Reactions
30 Replies
434 Views
Kwanza napenda kumshukuru mh rais sana. Halafu kwa niaba yangu pia najishukuru. Huyu demu muda flani nlimwambia naomba show. Akawa na maneno mengi kidogo na kutaka nimbembeleze. Mi sikuwa na muda...
5 Reactions
9 Replies
126 Views
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa Kama kichwa cha habari kinavyosema Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye...
8 Reactions
40 Replies
507 Views
Taifa la Iran limepiga hatua kubwa kwa ugunduzi na utengenezaji zana vita. Katika maonyesho ya zana vita, yanayoendelea Qatar,Iran imeonyesha Drone yake,inayoweza kubeba mabomu 13,na kutembea...
10 Reactions
60 Replies
1K Views
Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024...
10 Reactions
124 Replies
5K Views
Nimeshangaa kusikia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeikopesha Serikali Shilingi billion 208 na hazijalipwa hadi Leo. Inasikitisha sana. Waziri husika ajitafakari kwa kweli.
4 Reactions
21 Replies
428 Views
Serikalini ibinafsishe shirika la ndege ATCL Kwa kualika wawekezaji binafsi Ili nao iwe mwana hisa badala ya Sasa ambapo linamikiwa 100% na Serikali. Kwa kufanya hivyo ndio shirika litaanza...
1 Reactions
10 Replies
132 Views
Hawa ni baadhi tu ya watoto wanaoendelea kufa njaa na kiu mbele ya ulimwengu wakati vyakula vimejaa mpakani mwa Gaza
2 Reactions
12 Replies
124 Views
Inaelezwa Serikali imetafuta Kampuni kutoka Dubai ili kuipa tenda ya kuendesha Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ushirikiano wa Umma na Binafsi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,301
Posts
49,196,656
Members
663,983
Latest member
Mr samson
Back
Top Bottom