Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja. Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa...
17 Reactions
1K Replies
9K Views
Unajua sio kitu ubaki kusimuliwa, mengine inabidi uonje ili kujua mambo mengi hata kama sio kila kitu. Kwa hiyo wakati fulani nikataka kuonja radha ya katoto ka miaka ya 2000s. Wakati huo kalikua...
26 Reactions
89 Replies
2K Views
Uwanja ukowazi. Karibuni wadada na wamama mliyotayari. Leteni wasifu wenu kwa kuni PM mmoja wenu atachaguliwa. Sifa zangu: Umri : 50 Elimu: shahada 1 &2 Kazi: Mfanya biashara Dini: Mkristo...
12 Reactions
197 Replies
2K Views
Mlioko Mjini tujuzeni hali ya mvua huko niko Ubungo nakuja town Ni hilo tu Mbarikiwe! ====== TAARIFA KWA UMMA YAH: Kufungwa kwa Njia. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka-DART unawaarifu...
2 Reactions
23 Replies
456 Views
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar. Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha...
4 Reactions
7K Replies
189K Views
Makonda anataka yeye ndiye awe chawa mkuu wa Rais Samia, anamlazimisha Rais amsikilize yeye sana kwamba yeye ndiye msema kweli, Mimi kwenye serikali yangu sitahitaji machawa wala watu...
17 Reactions
42 Replies
2K Views
INVITATION TO TENDER NO. TP/04/2024/NCB/S/011 SUPPLY AND INSTALLATION OF IT INFRASTRUCTURE AND DISASTER RECOVERY PLAN OFF SITE Tanzania International Petroleum Reserves Co Ltd (TIPER)isa bulk...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui! Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa na mkoa wa Kagera wakiongozwa na askari polisi katika maandamano ya...
3 Reactions
14 Replies
429 Views
Hapa naomba ndugu Zangu Malaria 2 FaizaFoxy na The Big Show mnipe Elimu kidogo kwanini Waislam hawavalishwi Nguo na Viatu wanapozikwa Ni hilo tu maana mazishi ya General Ogolla yamenifunza kitu...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa taarifa iliyonukuliwa na gazeti la the Guardian inaelwza kwamba Benki ya Dunia WB Imezuia kuendelea kutoa ufadhili wa Mradi wa Regrow kufuatia madai ya ukiukwaji wa Haki za binadamu...
0 Reactions
12 Replies
184 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,797
Posts
49,466,066
Members
666,455
Latest member
Dr Sifael Mk
Back
Top Bottom