Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huwa sipendi kabisa kuzungumzia Dini. Sababu mimi nimeshaitwa majina mengi sana. Ila huwa sijali mzee wangu ni Al Haj, Sheikh ila si Sheikh njaa. Anakazi na miradi yake mingi tu. Mimi huwa...
39 Reactions
177 Replies
7K Views
Bado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote...
3 Reactions
18 Replies
426 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
265 Reactions
161K Replies
4M Views
Serikali Rais mama Samia imetenga Bilioni 300 kuanza Ujenzi wa Daraja la Jangwani Ili kutatua kero ya mda mrefu ya Mafuriko na kukatika Kwa Barabara eneo la Jangwani Daraja Hilo litajengwa...
27 Reactions
206 Replies
12K Views
Shalom, DSM ni mkusanyiko wa Vijiji vya hovyo vilivyochangamka, ni aibu mna viongozi ambao wana nafsi za tumbili na ngedere. Hakuna anaejali mmejaza viongozi ambao ni mashetani wanyonya damu...
3 Reactions
3 Replies
137 Views
INTRODUCTION:- Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!! BODY:- Tarehe 18/04 Mtukufu raisi wetu A.K.A "Mama anaye upiga mwingi"" alitengua uteuzi wa DED Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila...
0 Reactions
2 Replies
45 Views
Hakuna aliyesahau kwamba Waliopitisha Kikokotoo kwa kishindo ndani ya Bunge ni Wabunge wa CCM , Akiwemo huyu anayeitwa Musukuma, meza ziligongwa nusura zitoboke kwa kushangilia kikokotoo. Sasa...
18 Reactions
78 Replies
2K Views
Homa ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC. Yanga...
11 Reactions
74 Replies
789 Views
Ndio nilikua nimemaliza tu chuo kikuu, na nilikua na kiasi cha tsh laki5 tu, cash in hand, fedha ambazo nilikua nikijibana bana na kudunduliza nikiwa chuo kwa madhumuni haya haya ya kugombea...
24 Reactions
244 Replies
4K Views
Wasalaam madaktari na wahenga... Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili. Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri. Kwanza ameokoka na katika uchumba...
19 Reactions
202 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,945
Posts
49,435,550
Members
666,147
Latest member
Aby Emmanuel
Back
Top Bottom