Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Niliwahi kutoa ushauri kwa Yanga kujikita kwenye kombe la shirikisho maana wameonyesha wana uwezo wa kukomaa na kuchungulia ubingwa kabisa. Baada ya ushauri ule nilishambuliwa sana na mashabiki...
0 Reactions
2 Replies
30 Views
Nchi kadhaa za Afrika zikiwemo Kenya, Misri, Zimbabwe, Nigeria, Ghana, Tanzania na Zambia kwa sasa zinakabiliwa na uhaba wa dola za Marekani. Dola ndiyo sarafu inayotawala katika shughuli za...
0 Reactions
3 Replies
50 Views
Habari maswahiba, sio jambo baya tukipeana mawili matatu kwenye fursa na ujuzi wa biashara ili endapo mmmoja wetu atahitaji kufanya biashara hiyo awe na mwanga kidogo. twende moja kwa moja kwenye...
16 Reactions
61 Replies
13K Views
Ndyo maana Mimi sera yangu ni ile ile tu ukitaka kuja Ghetoni kunitembelea nakuuliza Red Sea yako imefurika au bado?
5 Reactions
25 Replies
850 Views
Kipindi cha Kikwete walipinga sana suala la Ufisaidi. Hili walilisimamia kidete kwa kweli tunashukuru lilisikika maana ni kweli lilitamaraki. Kipindi cha Magufuli chorus ilibadilika ikawa ni...
4 Reactions
15 Replies
126 Views
Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini, Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya...
41 Reactions
117 Replies
4K Views
Mabenki wanaweza wapatia wateja wao kila aina ya elimu ila sio Financial educaion, hio hawawezi itoa hata kwa bunduki make wanajua itawakosesha wateja wengi sana. Na ukweli ni kwamba upigwaji...
11 Reactions
57 Replies
1K Views
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa...
3 Reactions
56 Replies
1K Views
Wanasiasa wanatumia ujinga wa vijana wengi kuwapumbaza na vitu vidogo kama mpira na hisia za kidini Yani Wakenya wanaandamana mfumko wa bei huku Watanganyika wanataka kuanda kushinikiza serikali...
1 Reactions
3 Replies
19 Views
Wakati serikali, wanaharakati na wapenda amani wakipambana dhidi ya kuenea kwa vitendo vya kishoga na kisagaji, mashabiki wa mambo ya ushoga na usagaji wameanza kuingiza vitendo hivyo hapa nchini...
2 Reactions
63 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,852
Posts
49,399,026
Members
665,744
Latest member
H VOLTAGE
Back
Top Bottom