Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sio siri kuwa shauku ya mh Januari Makamba kuutaka urais ni kubwa sana pengine zaidi ya ile shauku ya mh Lowasa. Lakini kwa bahati mbaya mapito yake hayatatofautina na yale ya Mh Lowasa...
5 Reactions
50 Replies
2K Views
Ni nadra sana Leo hii kuwasikia Viongozi wa CCM wakiunanga Upinzani lakini wawapo mikutanoni Viongozi hao ni wakali kweli kweli Je, unajua wanamfokea nani?! 🐼 Jumaa kareem 😄
1 Reactions
5 Replies
26 Views
Kwa utafiti wangu mdogo hakujawahi kutokea matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili kama muda huu tulionao. Kibaya zaidi hata baadhi ya vyombo vya habari vikubwa vinashiriki dhambi hii. Maneno...
16 Reactions
143 Replies
2K Views
My Take Tuache short-cut. Kama bajeti inabana jenga kawaida tu
1 Reactions
3 Replies
121 Views
Mojawapo ya kitu ilichofanya jamiiforum kupendwa na wengi ni upekee wake,walijitofautisha na aina ya Facebook,insta n.k...sasa ni ngumu kidogo kuja kama insta halafu kuwahamisha wapenzi wa insta...
0 Reactions
5 Replies
29 Views
Ndio nilikua nimemaliza tu chuo kikuu, na nilikua na kiasi cha tsh laki5 tu, cash in hand, fedha ambazo nilikua nikijibana bana na kudunduliza nikiwa chuo kwa madhumuni haya haya ya kugombea...
10 Reactions
82 Replies
592 Views
Wakazi wa mbagala kiburugwa tunaomba serikali iwajibike ipasavyo, barabara hii ni kubwa sana ila ni mbovu haipitiki kipindi cha mvua na kikiwa kipindi cha jua kali ni vumbi na mchanga mwingi kiasi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Moja kwa moja kwenye mada. Nimekuwa muhanga wa kukuta mambo ndivyo sivyo katika mahusiano, yaani mwanamke nnaye mtaka kuna wakati simpati, nikimpata basi ndani ya muda mfupi namtaka mwingine...
0 Reactions
7 Replies
105 Views
Katika kuhakikisha usalama wa maisha ya watu wilayani Rufiji, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania - TAWA imefanya msako wa mamba wanaotajwa kutishia maisha ya watu kutokana na kusogea...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,806
Posts
49,430,096
Members
666,064
Latest member
kipethor
Back
Top Bottom