Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??. jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome...
4 Reactions
29 Replies
260 Views
Utasikia, fulani alikuwa jambazi hapo zamani kwa sasa kaokoka, fulani alikuwa tapeli sugu hapo zamani kaamua kuokoka au fulani alikuwa mbakaji hapo zamani kaamua kuokoka. NONSENSE, UJINGA...
16 Reactions
120 Replies
2K Views
binafsi niliwahi kusinzia kwenye usafiri wa daladala hadi kupitilza kituo nilichokusudia kushuka. So, sikuona kama ni jambo la kushangaza sana. Lakini leo hii anti yangu ananisimulia kwa...
0 Reactions
2 Replies
30 Views
Hasa hapa kwetu Afrika kwenye timu ambazo hazifiki hata asilimia kumi ya hicho kiasi Unazipa timu bilioni 130 kwa kushiriki kombe la mwezi, inakuwa ngumu sana kwa timu zenye bajeti za bilioni 8...
3 Reactions
18 Replies
703 Views
Wakuu kwema Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana "sina hisia na wewe" ".sijawahi kukupenda" "Nina...
3 Reactions
20 Replies
181 Views
Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume...
3 Reactions
55 Replies
507 Views
Familia ya marehemu Robert Mushi imetoa Shukrani kwa Umma wa Watanzania kwa kupaza sauti Kwenye Mitandao ya Kijamii ina kufanikisha na kufanikiwa kuuona mwili wa ndugu yao aliyepotea ghafla...
0 Reactions
4 Replies
175 Views
Miongoni mwa mambo ninayo yangoja kwa hamu ni kuingia mojakwamoja peponi. Naomba kuuliza wataalamu wa maandiko endapo peponi kuna nyama choma yenye pilipili kwambaali na limao. Imeandikwa...
2 Reactions
11 Replies
71 Views
MUUNGANO CUP: Nusu fainali ya kwanza inachezwa leo Jumatano Mnyama Simba SC kukipiga na KVZ Kikosi cha Simba kinachoanza Goool 25 Fred anaitanguliza Simba
1 Reactions
9 Replies
138 Views
Ajira ngumu, Kupoteza muda, Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara. Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo) Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na...
23 Reactions
196 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,234
Posts
49,479,175
Members
666,657
Latest member
moma22
Back
Top Bottom