Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuonesha kwamba timu ya SIMBA ni timu iliyobarikiwa na MUNGU kwa kutandaza soka tamu la viwango vya CAF na kuthibitishwa na FIFA, CAF wameamua kuipanga siku ya ijumaa iwe siku ya mechi pekee ya...
1 Reactions
8 Replies
75 Views
From my experience real love is hard to find, real people are so rare! Wanawake siku hizi hawaaminiki kabisa. Their intentions is to play you and use you. The same applies to men. Kijana msomi...
2 Reactions
6 Replies
39 Views
Nimeshangaa kusikia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeikopesha Serikali Shilingi billion 208 na hazijalipwa hadi Leo Inasikitisha sana Waziri husika ajitafakari kwa kweli
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hivi kwa karne hii ya sayansi na teknolojia mtu anaweza akapanda ndege kwenda kwenye chimbuko la dini yake na matalasimu vibuyu na tunguli ili akafanye uganguzi? Tena wateja naona watakuwa ndugu...
3 Reactions
52 Replies
2K Views
Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga kiwanda chake cha chai. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na...
14 Reactions
160 Replies
6K Views
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge. 2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama. 3. Chagga Bite Bar, Makumbusho. 4. Mori Bar, Sinza. 5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani. 6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road...
30 Reactions
311 Replies
10K Views
Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024...
8 Reactions
104 Replies
3K Views
Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa kinijalia afya njema...napenda kuwapa moyo vijana wenzangu ya kwamba wasikate tamaa..kikubwa tuendelee kupamba, kumuomba mungu.. Niko kitambaa cheupe...
2 Reactions
7 Replies
207 Views
Amani iwe nanyi. Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu. Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments...
30 Reactions
200 Replies
9K Views
Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa Kama kichwa cha habari kinavyosema Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye...
7 Reactions
37 Replies
300 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,290
Posts
49,196,125
Members
663,967
Latest member
Abel paschal
Back
Top Bottom