Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa miaka kumi tumeona wakuu wa wilaya na mikoa wakichapa na kupiga subordinate wao na kuishia kutenguliwa uteuzi kisha baada ya muda kuteuliwa tena. Tumeshuhudia viongozi kama Naibu Waziri...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
JF team nimekutana na hii habari kwenye whatsap, naomba kwa mtu aliye karibu na maeneo ya huko Chemka atuambie kama ni kweli au ni uzushi? Naambatanisha na video na huo ujumbe unaozunguka Kinga...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Anaandika Boniface Jacob katika ukurasa wake wa X Nimepokea taarifa mbaya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia inayohusu kiongozi mkubwa wa Halmashauri hiyo kumbaka mfanyakazi wake wa ndani...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Habari za muda huu....... Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq.......... ==== Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan Israeli...
4 Reactions
201 Replies
3K Views
enzi hizo Afrika Mashariki ni Tanzania, Kenya na Uganda (TAKEU) Hizi ni kazi alizoweza kufanya na wasanii wa nchi zote za Afrika Mashariki na zikawa super hits zilizoteka media za nchi zote za...
8 Reactions
39 Replies
744 Views
Habari wanajukwaa. Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui. Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama...
6 Reactions
70 Replies
1K Views
Ndege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Luteni Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani. Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa...
17 Reactions
234 Replies
10K Views
Tayari Israel imejibu shambulio lililofanywa na Iran dhidi yake takriban wiki iliyopita. Miripuko imesikiaka kwenye mji wa Isfahan ambapo Iran imekiri kutokea kwa shambulio hilo Shirika la habari...
1 Reactions
34 Replies
437 Views
Kwa vile kuuliza si Ujinga, basi na mimi ninajitokeza mbele yenu wadau ili kutaka kujua Mmiliki hasa wa gazeti linalochapishwa na kusambazwa Tanzania linaloitwa Wamachinga. Lengo langu ni kujua...
0 Reactions
9 Replies
723 Views
Ukristu Haukatazi Utajiri Bali Matendo Yake Mungu hahukumu mtu yeyote kwa kuwa na utajiri. Utajiri huja kwa watu kutoka vyanzo vingi. Lakini anatoa onyo kali kwa wale wanaoutafuta zaidi kuliko...
0 Reactions
2 Replies
37 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,701
Posts
49,426,683
Members
666,032
Latest member
Banemhi
Back
Top Bottom