Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huku uchaguzi wa Marekani ukikaribia na Donald Trump akikabiliwa na matatizo mengi kisiasa pamoja na ukata wa kifedha,ameona achapishe biblia yake ya kizalendo ambayo juu imepambwa na bendera ya...
5 Reactions
30 Replies
649 Views
Sauli laxury imetoweka? Mbona barabarani hazionekani? Mwenye taarifa atusaidie. Hizi scania ni kama utambulisho wa Nyanda za Juu Kusini hasa Mbeya. Nini kumetokea?
18 Reactions
487 Replies
27K Views
Habari wana theolojia. Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
10 Reactions
196 Replies
2K Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
21 Reactions
447 Replies
6K Views
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa...
32 Reactions
161 Replies
2K Views
Nimesikia mahali kuwa mafuta taa ni sumu ya hatari sana kwamba mtu akimiminiwa ndani ya masikio hata dakika 5 hamalizi ngoma za masikio hupasuka na kufariki papo hapo. Jee ni kweli?
1 Reactions
11 Replies
16 Views
#FAHAMU: Abby na Brittany Hensel ambao ni mapacha walioungana mmoja wao ametangaza kufunga ndoa na Josh Bowling ambaye ni nesi na mwanajeshi mkongwe wa Jeshi la Marekani ndoa ambayo ilifungwa...
2 Reactions
10 Replies
29 Views
Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu...
3 Reactions
20 Replies
617 Views
Tunajua kwamba Mariamu alimpata Yesu kwa uwezo wa roho mtakatifu.... Lakini pia tunajua alikuwa mke wa halali wa Yusufu.... Inawezekana kweli kwamba kwenye maisha yao yote ya ndoa, baada ya Yesu...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
120 Reactions
506K Replies
28M Views

FORUM STATS

Threads
1,840,666
Posts
49,208,722
Members
664,071
Latest member
merckme
Back
Top Bottom