Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

kitu gani kilikutoa machozi, kukubaliwa, kukataliwa, kupewa au kuporwa mpenzi wako? kipi kilikuliza? 🐒
5 Reactions
163 Replies
607 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
509K Replies
29M Views
Mimi ni kati ya wale ndugu wasiopenda kutongoza, ni mtu wa kuweka mitego tu bidada anaelewa mwenyewe hapa anaombwa utamu. Mind you, huwezi mpata kila msichana kizembe namna hiyo. Hakika harakati...
33 Reactions
48 Replies
2K Views
Inaumiza na kufikirisha Sana, laiti tungeweka ubabe pembeni tukawaokoa Wana Rufiji Kwanza. Angalia hapa Wanachama VIONGOZI wa CCM wakishuhudia binadamu wenzao wakisombwa na maji. Inaumiza mnooo...
2 Reactions
22 Replies
804 Views
Kulingana na jinsi Kikokotooo kilivyo mwiba kwa wastaafu, huyu mbunge siyo Mtanzania. Mbunge amelewa mafao wanayolipwa wao kwa miaka 5 na kuwasahau watumishi wa umma wanaotumikia taifa kwa miaka...
20 Reactions
348 Replies
7K Views
Kila kukicha TANZANIA haikosi vituko. Tume ya madini tuambieni mtumishi jina kuanza na neno CPA, ni nini maana yake na kirefu chake ni nini. Mfano ni huu hapa👇 1. CPA. William E. Mtinya...
6 Reactions
70 Replies
1K Views
Anachotaka Christine ni kupanda cheo hapa benki toka kuwa afisa mikopo mpaka kuwa meneja wa tawi. Anaamini akikaa hapo, wazazi matajiri wa 'boyfriend' wake watamheshimu na kumwona anafaa kuolewa...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo...
17 Reactions
1K Replies
51K Views
Wakuu mambo vipi, leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyochomoka Nyumbani kwao.. Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea. Janga hili...
138 Reactions
7K Replies
833K Views
Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa...
19 Reactions
183 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,060
Posts
49,405,896
Members
665,828
Latest member
Ezirom
Back
Top Bottom