Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Harmonize sio authority yoyote katika uislamu. Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni...
43 Reactions
176 Replies
3K Views
Yaani tusijidanganye hata siku moja. Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc.. Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila...
18 Reactions
78 Replies
1K Views
Hatimaye CAF wamefuta hili kombe kuna timu ya ajabu kweli ilicheza hadi fainali. Sasa hivi zile medali hazina tofauti na shanga za wamasai
2 Reactions
3 Replies
42 Views
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani. Yawezekana yule binti...
9 Reactions
58 Replies
2K Views
Kwa wale ambao Huwa mnauliza wapi mnaweza kuwekeza na kufungua biashara basi sogezi siti. Tanzania Ina Jumla ya Halmashauri za Majiji,Miji na Wilaya 184,kati ya hizo ni Wilaya 60 ndio Zina...
0 Reactions
14 Replies
231 Views
Bwana haji Manara sawa kuoa ni haki yako ya kidini lakini isiwe geuze kuwa chanzo cha mapato kwa kulenga michango utakayopewa na ndugu na jamaa. Haiwezekani wewe ni kuoa kuacha kuoa kuacha...
4 Reactions
26 Replies
634 Views
Taarifa haijakamilika rasmi, kama kuna yeyote atakaye pata updates zaidi, basi unaweza kutuletea taarifa iliyokamilika 🤝. • MwenyeziMungu awaweke mahali pewa wale wote waliofikwa na umauti...
3 Reactions
16 Replies
17 Views
Jana Viongozi wote wa Simba SC mlionekana Bunju Arena mkiwa na Sura za Upendo kwa Wachezaji huku kila Kiongozo aliyekuwepo katika Msafara ule akienda kwa kila Mchezaji na Kuwaonyesha Upendo na...
1 Reactions
9 Replies
292 Views
Majumuisho ya kesi mkakati zilizotolewa tangu miaka ya nyuma, ambazo Tanganyika Law Report walijitahidi kuchapisha zilizolenga kesi mashuhuri zilizowahi zilizosikilizwa Tanzania kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimekuwa nikiwasikia mashabiki wa yanga walivyokaririshwa eti Simba hajawahi kufika fainali ya CAF kwa vile kikombe alichofika fainali kiliitwa Abiola Cup. Ni sawa na mtu asema kombe halikuwa la...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,029
Posts
49,404,453
Members
665,810
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom