Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni rasmi Wydad Athletic 🇲🇦 hawatashiriki michuano ya CAF champions league msimu ujao. Wameukosa Ubingwa wa ligi kuu pia wameikosa nafasi ya pili kwenye ligi kuu 🇲🇦 Full — Wydad 0 - 1 FAR Rabat...
12 Reactions
34 Replies
1K Views
💦Kwenye maisha wewe ndio umebeba maono ya maisha yako. 💦Wewe ndo unajua wapi unataka kwenda. 💦Wewe ndo unaona kule unakokwenda. 💧Usikubali kuambiwa huwezi. 💧Usikubali kuambiwa hautafanikiwa...
7 Reactions
21 Replies
264 Views
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa...
10 Reactions
139 Replies
3K Views
Kuna msichana mmoja tulisoma wote nursery na primary! Nilikua nime crush kwake ila sikuwahi mwambia niliogopa itakua noma. Skuli za mission na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Bahati mbaya...
2 Reactions
34 Replies
381 Views
Taarifa kutoka kwenye vyanzo vya Uhakika Ndani na Nje ya Nchi , Chadema HQ na Chadema Diaspora , zinaeleza kwamba Maandalizi ya yale Maandamano kabambe ya amani ya kupinga Ugumu wa Maisha na...
0 Reactions
1 Replies
38 Views
Hebu fikiria. Umefanya kazi kwa miaka 32 ukiwa mtumishi mwaminifu, na ulipofika miaka 60 ukastaafu kwa mujibu wa sheria. Unalipwa pensheni yako kwanza mkupuo wa 25% halafu asilimia 75 inayobaki...
21 Reactions
328 Replies
71K Views
1. Hii ni vita dhidi ya wanamgambo tu, Tena walio dhaifu zaidi katika mahasimu wao: 2. Kwamba uchumi wa Israel ndiyo huu? 3. Kwamba madeni ndiyo haya? 4. Wanaeleweka washirika...
1 Reactions
11 Replies
244 Views
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
68 Reactions
23K Replies
2M Views
Kabla chochote hakijafanyika wanaambiana. Hapa Iran anadai US anaomba Iran ijifanye kama inapigwa ili Israel ionekane iko vizuri au imejibu. Dunia ilipofika. Wawakilishi wa Iran, Russia...
0 Reactions
6 Replies
113 Views
Wakuu mambo vipi, leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyochomoka Nyumbani kwao.. Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea. Janga hili...
138 Reactions
7K Replies
832K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,974
Posts
49,402,624
Members
665,794
Latest member
shilax jr
Back
Top Bottom