Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
5 Reactions
66 Replies
744 Views
Tukiwa tuna masiku kadhaa tokea mfungo uanze nimejaribu kukutana na changamoto kadhaa kwa baadhi ya watu wakikereka na watu wanaokula mbele yao huku wakiwa hawajafunga. My take Sijaona andiko...
7 Reactions
32 Replies
408 Views
Onsale🚘🚘 Nissan X-Trail New Model Price : 32ml Year: 2014_2015 Cc 1990 Km: 9990 Colour: GREEN Fog Light ✅ 7 SEAT CAPACITY ✓ 2WD & 4WD ✅ Digital Dashboard ✅ Mirror Winkors ✅ Tyre Michelin ✅...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu...
2 Reactions
42 Replies
1K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
Mimi ni mkristo, mpenda haki. Nimekuwa nikiwatetea sana wapalestina katika platforms za social media kote nilipo. Hakika kitendo kinachoonekana katika video niliyoambatanisha kimeniumiza...
0 Reactions
21 Replies
317 Views
Binti (Miaka 19) yupo kwa Basi, anatoka zake Dar kwenda Uyulo-Mbeya kumsalimu Shangazi yake, anawasiliana nae kwa Simu akiwa safari, lakini anafika Iringa Simu inakata Chaji. Binti anamuomba Simu...
7 Reactions
90 Replies
3K Views
Inahitaji jicho la ziada na la kijasusi kuona jambo fulani katika video hii wakati Mamelodi Sundowns wanakanyaga ardhi ya Nyerere. https://www.youtube.com/watch?v=WbXPCaWE4uY Embu nione ni...
2 Reactions
7 Replies
366 Views
Habari wana theolojia. Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
4 Reactions
54 Replies
728 Views
Wasomi wengi wanajidanganya kwamba kuonekana civilized ni kuzaa watoto wa chache, Baba angu mdogo alikua na utani wa kutuambia kwamba unazaje watoto wawili we ni Mkristu? kumbe siku hizi hata...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,494
Posts
49,203,847
Members
664,041
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom