Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Baada ya kuitawala dunia kiuchumi na kijeshi kwa miongo kadhaa,sasa Marekani inaelekea kudondokea pua yake na hakuna wa kuizuia. Katika kipindi cha miaka kama 24 imeshiriki vita vingi vilivyokuwa...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
A
Hospitali ya Mbagala Zakhem iliyopo Mbagala Dar es Salaam imekuwa kama ni sehemu ya kuwamaliza Watu, kuna mifano mingi tu kuhusu huduma zao kutokuwa na kiwango kizuri na hivyo kuwaathiri wengi...
1 Reactions
9 Replies
236 Views
Niliwahi kusikia habari za EAZY-E kwamba yeye ndiye GodFather of Gangsta Rap. Na zaidi nikaja kusikia kuwaKwa miaka ya 1986-1992 ni EAZY-E Pekee ndiye rapper aliyekuwa na pesa nyingi zaidi kuliko...
15 Reactions
131 Replies
2K Views
TCRA pamoja na haya makampuni ya simu ya Tanzania (tigo,vodacom,halotel,zantel,airtel,ttcl),miongoni mwa wateja wenu kuna hawa wenye mahitaji maalumu ambao ni viziwi kiasili.KIZIWI maana yake ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kutokana na Serikali kutokutoa Elimu ya Kutosha kwa Watumishi wa Umma na Wastaafu watarajiwa na kusababisha Mslumbano makali nadhani sasa ndio muda sahihi kwa Serikali kutoa ELIMU na FAIDA...
0 Reactions
0 Replies
5 Views
Hivi mtu unatokaje huna hata mia? Aibu nyingine zinaepukika kuwa na akiba ya hela yako binafsi ni muhimu sana. Hii inawakumba sana Ke wengi. Back up plan ni muhimu sana.
17 Reactions
169 Replies
2K Views
Ni vigumu kukuta Watanzania wanajadili mambo yanayo husu maisha yao, Maswala ya kodi isio rafiki kwenye biashara, Upigaji, Tatizo la ajira au matumizi ya anasa ya Serikali. watawala kujazilishia...
1 Reactions
1 Replies
48 Views
Jik Carotone cream Omo Carotone maji Sabuni ya magadi 7 Baking powder n.k
5 Reactions
177 Replies
71K Views
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia...
5 Reactions
29 Replies
747 Views
Moto unawaka SSC! Ni vita kubwa! Klabu ya Simba ipo katika kipindi kigumu cha vita inayozidi kukomaa kila uchwao baina ya Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Simba Salim Abdallah Muhene ‘Try...
29 Reactions
238 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,457
Posts
49,418,493
Members
665,947
Latest member
MBATIZAJI SAUTI YA RADI
Back
Top Bottom