Stephen Aziz Ki na Djigui Diarra bado sijawaona kambini na walipaswa kuwa wamerejea kutoka kwenye majukumu yao ya timu zao za taifa”
- Kocha Miguel Gamondi, Yanga Afrika.
Yapi maoni yako??
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi naomba kuanzia leo na kuendelea tuungane kuwakemea wanawake wanao vaanguo fupi kwani mimi naona kitendo hiki hakina maadili kabisa tena wengine utawaona watu...
Habari wana theolojia.
Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
LAPTOP ZA BEI NAFUU ZAIDI
KWA PICHA ZA LAPTOP NICHEK INBOX NITUMIE JINA LA LAPTOP
HP PROBOOK X360
ITEL
SSD 128
RAM 4GB
BEI 335,000 🔥🔥🔥🔥
DELL 3189
SSD 128
RAM 4GB
BEI 350,000🔥🔥🔥🔥
HP 640G1...
Mama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu.
Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja...
Kumekuwa na hoja maoni na mitazamo tofauti sana kwa baadhi ya watu kuhusu idadi sahihi ya watoto wanaozaliwa zama hizi kulinganisha na zamani.
Dada mmoja mtu mzima kazini ana watoto watatu na...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Mimi ni mkristo, mpenda haki. Nimekuwa nikiwatetea sana wapalestina katika platforms za social media kote nilipo. Hakika kitendo kinachoonekana katika video niliyoambatanisha kimeniumiza...
Habari!
Nimekuwa nikijiuliza sana niwapo jijini Dsm hasa kwenye usafiri wetu wa kujumuika wa 'daladala'. Wanawake, si wakubwa, si mabinti,si walioolewa wanapenda sana kuvaa vinguo vifupiiii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.