Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

SERIKALI imetuma kikosi maalum cha askari wa kupamba na ujangili Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora ili kukabiliana na nyoka aina ya Koboko ambao hadi sasa wamesababisha vifo vya watu wanne. Hayo...
4 Reactions
292 Replies
118K Views
Watanzania biashara wanayoimudu ni Kuuza maneno yaani Siasa na si zaidi ya hapo Wamepewa Mwendokasi imewashinda wakaishia Jela Waarabu Wana history ya kufanya vizuri Kwenye Sekta ya...
3 Reactions
32 Replies
314 Views
Wametua bana, mmeona pia mfuturishe bure uwanjani ili watu wajae mfanye yale mambo yetu. Cwezi vaa jezi ya Mamelodi lakini siwezi kushangilia ushindi wa Yanga hata iweje.
2 Reactions
9 Replies
208 Views
Huyu nae ni mbabe wa koboko.Yaani Mungu fundi kweli,hili dude limekaa kifala kweli ila shughuli yake koboko anaijua.Yanawatafuna balaa.Na eneo lililo na Bundi koboko lazima achague mambo mawili...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Niajee wakuu, Mazoezi ni muhimu sana. Shauri yenu!!! Mwanaume ata kupiga push ups 10 huwezi, kukimbia nayo huwezi, ata kutembea mdogo mdogo km ½ nayo huwezi. Achaneni na chips yai wazee pigeni...
11 Reactions
62 Replies
1K Views
Wakuu natumai mko poa kabisa Mimi ni kijana ambaye nimeamua kuwa muwazi kuwa asiyekubali kushindwa si mshindani. Jiji la Dar es Salaam limenishinda, Nimekubali na sitaki tena maisha ya jiji...
17 Reactions
37 Replies
1K Views
Aisee ujenzi wa kanda ya ziwa unaweza kujiuliza yule fundi kafikaje juu ya paa. Nyumba inajengwa vizuri ila upande wa kuweka bati ilibaki kidogo kuwa na usawa wa gorofa moja.
20 Reactions
52 Replies
4K Views
Promota wa Tamasha la Pasaka, Mtangazaji wa vipindi vya kwaya na Mgombea wa nafasi mbalimbali za uongozi huko CCM, Bwana Alex Msama ametajwa kuwemo kwenye 3 bora ya Matapeli Papa wa Viwanja DSM...
16 Reactions
71 Replies
4K Views
Leo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikua busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma...
9 Reactions
25 Replies
226 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,244
Posts
49,194,801
Members
663,951
Latest member
Eber Manya
Back
Top Bottom