Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Great Thinkers. Hakuna sehemu hao viumbe walishawahi kukaa pakapendeza. Ni waharibifu na wanyonyaji wakubwa. Huwezi ukategemea watu wa Asia wasukume uchumi wako mbele this is the open truth...
2 Reactions
13 Replies
238 Views
Vinapitaga hapa mida ya saa Moja 30' Hadi saa mbili Kila siku. Kimoja kina mwanga kina ulingo kuzungukia. Kingine kinafanana na stelite kina Kingo kama ngazi za helicopter.
4 Reactions
62 Replies
1K Views
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
9 Reactions
64 Replies
873 Views
Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024...
10 Reactions
126 Replies
5K Views
Unaweza sema urusi na ukrain hawapatani na unaweza sema israel na palestina hawapendani, unaweza zani mtu mweupe na mweusi wanabaguana, ila ukweli ni kwamba hawa wote wanafiki tu na hata hivi...
1 Reactions
5 Replies
118 Views
Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema vijana wake wapo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly na wanahitaji kupata mabao mengi nyumbani, ili kujitengenezea mazingira mazuri...
2 Reactions
7 Replies
193 Views
Nimeshangaa kusikia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeikopesha Serikali Shilingi billion 208 na hazijalipwa hadi Leo. Inasikitisha sana. Waziri husika ajitafakari kwa kweli.
4 Reactions
24 Replies
428 Views
Binti (Miaka 19) yupo kwa Busi, anatoka zake Dar kwenda Uyulo-Mbeya kumsalimu Shangazi yake, anawasiliana nae kwa Simu akiwa safari, lakini anafika Iringa Simu inakata Chaji, Binti anamuomba Simu...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Maandalizi yameshaanza.
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu mtakumbuka kwamba 4 March 2024 niliripoti kuhusu uwepo wa mgodi wa siri huko Singida - Tabora baada ya kupewa taarifa na mmoja wa wachimbaji wadogo. Timu yangu ilifanikiwa...
16 Reactions
67 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,304
Posts
49,196,754
Members
663,984
Latest member
Mr samson
Back
Top Bottom