Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mmiliki wa klabu ya Simba ndugu Mohamed Dewji amesema ya kwamba atazungumza na wanasimba instagram live ili wamueleze changamoto za klabu yao ikiwemo wachezaji gani wafukuzwe katika klabu ya...
14 Reactions
54 Replies
2K Views
Kama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali...
13 Reactions
124 Replies
3K Views
Harmonize sio authority yoyote katika uislamu. Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni...
26 Reactions
121 Replies
2K Views
Unafikia umri umemtamani mtoto wa kike mrembo 18+ kumwita tu anakusalimia shkamoo babu au shkamoo baba. Ujue bora akusalimie tu shkamoo Hapo ujue bado upo Ila akimalizia tu . Una hali mbaya...
21 Reactions
59 Replies
2K Views
Hadi leo TAMISEMI wapo kimya wakati walitangaza mwisho wa February watatoa ajira za ualimu na afya duh
5 Reactions
9 Replies
233 Views
Swali ni kama linavyojieleza hapo juu. Naomba maoni yenu ya Kijamii na kimaadili limekaaje hilo suala yaani kuwanunulia na kuwakabidhi moja kwa moja. Karibuni.
7 Reactions
96 Replies
2K Views
Nilipata ajali boda boda kagonga gari langu kwa nyuma na kusababisha uharibifu mkubwa tu. Sasa nashanga naambiwa eti kila mtu atengeneze chombo chake hii wanasheria humu ndani imekaaje? Msaada...
0 Reactions
3 Replies
47 Views
Hii mambo ya kuteuana ndio inaleta watu kama kina Try Again , Mangungu, imani Kajula watu ambao uwezo wao kwenye football management ni mdogo sana. Hii itasababisha kila kocha ataonekana hafai...
0 Reactions
1 Replies
31 Views
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️ Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja? Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja? Kudhalilisha...
4 Reactions
31 Replies
257 Views

FORUM STATS

Threads
1,845,984
Posts
49,403,034
Members
665,811
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom